COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Kwani yeye bado anachukua posho za vikao? Si nasikia alikataa kuchukua.!Lisu
Lissu:Maslahi anayoyazungumzia wakili Msando kuwa wapiga kura wa mteja wake watapata madhara,uenyekiti wake wa PAC na ubunge wake hayalingani na athari ya shughuli za chama kikuu cha upinzani na wanachama wake nchi nzima.Equivoically and categorically where is the balance of convinience?
Anaiuliza mahakama je Ikitokea Kamati Kuu ikitoa onyo kwake je kutakua na madhara yasiyotobika?Yaani irreparable injury?
Je,Akifukuzwa uanachama si siku 90 tu uchaguzi utakua umeitishwa na wapiga kura wa Kigoma watakua na mbunge?Irreparable loss iko wapi?Atakachokosa ni maslahi yake binafsi ya posho tu.Kwa hiyo hakuna hoja .Irreparable loss ni kuangalia maslahi ya wengi kuliko posho zake za Ubunge na uenyekiti wa PAC Tu