scatter
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,667
- 925
huu ni utafiti ambao tayari nimeuconfirm katika mikoa niliyopita hasa kagera,kigoma,mara na mjini dar es salaam wengi wao wanapenda kuwa smart lakini tatizo hawaupendi u-asili wao ni wateja wazuri wa vipodozi katika maduka makubwa
utafiti huu uli angaza kwa kuangalia na kuwahoji wahusika wenyewe
maoni yetu watifiti:
WANAWAKE WEUSI ACHENI UROHO WA VIPODOZI MTALIPUKA KAMA NI MBAYA UTAKUWA MBAYA TU!
utafiti huu uli angaza kwa kuangalia na kuwahoji wahusika wenyewe
maoni yetu watifiti:
WANAWAKE WEUSI ACHENI UROHO WA VIPODOZI MTALIPUKA KAMA NI MBAYA UTAKUWA MBAYA TU!