Utafiti:wanawake weusi wanapenda kujikoboa

scatter

JF-Expert Member
Feb 15, 2013
1,667
925
huu ni utafiti ambao tayari nimeuconfirm katika mikoa niliyopita hasa kagera,kigoma,mara na mjini dar es salaam wengi wao wanapenda kuwa smart lakini tatizo hawaupendi u-asili wao ni wateja wazuri wa vipodozi katika maduka makubwa

utafiti huu uli angaza kwa kuangalia na kuwahoji wahusika wenyewe

maoni yetu watifiti:
WANAWAKE WEUSI ACHENI UROHO WA VIPODOZI MTALIPUKA KAMA NI MBAYA UTAKUWA MBAYA TU!
 
Hakuna mwanamke mbaya.uzuri unanunuliwa hadi kwenye makapu
huu ni utafiti ambao tayari nimeuconfirm katika mikoa niliyopita hasa kagera,kigoma,mara na mjini dar es salaam wengi wao wanapenda kuwa smart lakini tatizo hawaupendi u-asili wao ni wateja wazuri wa vipodozi katika maduka makubwa

utafiti huu uli angaza kwa kuangalia na kuwahoji wahusika wenyewe

maoni yetu watifiti:
WANAWAKE WEUSI ACHENI UROHO WA VIPODOZI MTALIPUKA KAMA NI MBAYA UTAKUWA MBAYA TU!
 
huu ni utafiti ambao tayari nimeuconfirm katika mikoa niliyopita hasa kagera,kigoma,mara na mjini dar es salaam wengi wao wanapenda kuwa smart lakini tatizo hawaupendi u-asili wao ni wateja wazuri wa vipodozi katika maduka makubwa

utafiti huu uli angaza kwa kuangalia na kuwahoji wahusika wenyewe

maoni yetu watifiti:
WANAWAKE WEUSI ACHENI UROHO WA VIPODOZI MTALIPUKA KAMA NI MBAYA UTAKUWA MBAYA TU!
Hakuna mwanamke m-baya duniani…ila wapo wasiyovutia kulingana na anavyojichukulia mwenyewe
 
Anyway sipendi watu wanaojichubua au sijui kujikoboa awe mwanamke au mwanaume…ila mleta mada lazima
aelewe kuwa UZURI UNAZALIWANAO ILA UREMBO NA USAFI WA MWILI UNAJIPA MWENYEWE

ok. Je mtu akijiharibu unafurahia ?
Kutaka uzungu wakati wengine hata chungu kina afadhali ya nini?
 
wanawake wa bongo (Tanzania) nadhani ndo wanaongoza,ukiwaona akinadada wa Kenya,Uganda na hata Afrika Kusini hawana mpango wa kujichubua kabisa hata awe mweusi ti!,sasa hawa dada zetu haka ka staili cjui walikapata wapi!;
 
hapo kwenye bold, ndg yangu umenena point kubwa sana!
Anyway sipendi watu wanaojichubua au sijui kujikoboa awe mwanamke au mwanaume…ila mleta mada lazima
aelewe kuwa UZURI UNAZALIWANAO ILA UREMBO NA USAFI WA MWILI UNAJIPA MWENYEWE

 
ok. Je mtu akijiharibu unafurahia ?
Kutaka uzungu wakati wengine hata chungu kina afadhali ya nini?
Kwanza tambua siyo wanawake wote wanajichubua ila ni baadhi yao tu tena ni wachache sana.
Pili tambua baadhi ya madada zetu hasa wa uswahilini wanauelewa mdogo sana kulinganisha na madada zetu waliosoma au kuzaliwa kwenye familia bora. Kwa vyovyote vile wadada zetu wa uswazi ndiyo waathirika wakubwa
wa mavitu haya kuliko wadada zetu wa kishua.

Tatu tambua siyo kila dada anaeng'aa usoni au mwili mzima basi anatumia mkorogo wa kujichubua laa hasha…wengne wanatumia vipodozi asilia na wanakuwa na muonekano wa natural sikin.
By the way sipendi wadada zetu wautafute urembo wa kutumia vipodozi vikali…ni hatari kwa afya yao
 
wanawake wa bongo (Tanzania) nadhani ndo wanaongoza,ukiwaona akinadada wa Kenya,Uganda na hata Afrika Kusini hawana mpango wa kujichubua kabisa hata awe mweusi ti!,sasa hawa dada zetu haka ka staili cjui walikapata wapi!;
Siyo wote ni wachache sana…wadada waliowengi hawatumii hayo madawa ya kuchubua ngozi.

Kama uniamini acha nikupe easy homework kidogo tu…kwenye matembezi yako kila utakapoona au kukutana na wakina dada kama watatu au wanne hivi basi atakaekuwa anajichubua hapo atakuwa mmoja tu au hamna kabisa
 
Afrika kuna soko kubwa sana la wanaojichubua. Hiyo inawahathiri wengi si tu wenye elimu ndogo ni ishu ya self esteem. Watu wenye light skin wanachukuliwa kuwa superior
 
wanawake wa bongo (Tanzania) nadhani ndo wanaongoza,ukiwaona akinadada wa Kenya,Uganda na hata Afrika Kusini hawana mpango wa kujichubua kabisa hata awe mweusi ti!,sasa hawa dada zetu haka ka staili cjui walikapata wapi!;

wengi wanataja wazungu ndio role model wao ndugu
 
Wanawake wa mkoa wa Mbeya bhana wanapenda sana kujikoboa duh yaaani kila unayekutana naye ana rangi mbili.
 
yani napemda nilivyo mweusi natural is beuty bwana duh hizo make up za nini? basi si kuondoa rangi ya asili highlight sehemu muhimu za uso,..
 
Kwanza tambua siyo wanawake wote wanajichubua ila ni baadhi yao tu tena ni wachache sana.
Pili tambua baadhi ya madada zetu hasa wa uswahilini wanauelewa mdogo sana kulinganisha na madada zetu waliosoma au kuzaliwa kwenye familia bora. Kwa vyovyote vile wadada zetu wa uswazi ndiyo waathirika wakubwa
wa mavitu haya kuliko wadada zetu wa kishua.

Tatu tambua siyo kila dada anaeng'aa usoni au mwili mzima basi anatumia mkorogo wa kujichubua laa hasha…wengne wanatumia vipodozi asilia na wanakuwa na muonekano wa natural sikin.
By the way sipendi wadada zetu wautafute urembo wa kutumia vipodozi vikali…ni hatari kwa afya yao

mkuu maeneo niliyopita mimi wengi wao wanahusudu mapodozi
 
Back
Top Bottom