Dadio
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 359
- 42
Habari. Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nyumba ipo maeneo ya survey mwenge dakika mbili kwa mguu tokea mlimani city. Sifa za nyumba ni; nyumba kubwa yenye sebule kubwa na vyumba viwili. Chumba kimoja ni master, store tiles na public toilet ina sehemu ya jiko pia. Maji yapo masaa 24. Haina uzio ila gari linafika mpaka mlangoni kwako.Bei ni 300,000/- kwa mwezi na nahitaji kodi ya mwaka mzima. Hakuna dalali hapa.itakuwa wazi kuanzia tarehe 1 august 2014. Kwa anayeihitaji tafadhali Pm.