Naomba dada zetu mlioolewa na watu hawa mtusaidie.
Zingatieni: Waislamu wanaruhusiwa kuoa wanawake hadi wanne.Imani yao imesema hivyo na ninaiheshimu.
: Wakristo wanaruhusiwa kuwa na mke mmoja ndiyo imani yao inavyosema hivyo na ninaiheshimu.
Nyumba ndogo ni mahusiano yanayoibuka nje ya ndoa?Nini tatizo?Au ni shetani tu yuko kazini?Au ni tabia ya mtu binafsi?Au mke mmoja hatoshi?
Karibuni kuchangia mada bila kumkashifu mtu au dini ya mtu.
Nawasilisha mada.
Zingatieni: Waislamu wanaruhusiwa kuoa wanawake hadi wanne.Imani yao imesema hivyo na ninaiheshimu.
: Wakristo wanaruhusiwa kuwa na mke mmoja ndiyo imani yao inavyosema hivyo na ninaiheshimu.
Nyumba ndogo ni mahusiano yanayoibuka nje ya ndoa?Nini tatizo?Au ni shetani tu yuko kazini?Au ni tabia ya mtu binafsi?Au mke mmoja hatoshi?
Karibuni kuchangia mada bila kumkashifu mtu au dini ya mtu.
Nawasilisha mada.