mary mary
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 869
- 286
Huyu Nyakarungu mbona mimi namsikia kwenye migogoro tu.
Si ndiye huyu huyu Nyakarungu alikutwa kwenye vikao vya siri Africa Hotel na Mwigulu Nchemba, ndiye huyu huyu anayejipendekeza kwa Lowasa na kumpigia debe.....so hiyo huruma yake na uchungu kwa CHADEMA imetoka wapi kama sio unafki na kuingiziwa vijipesa M PESA itakuwa ndiye yule M sijui nani hana kazi anategemea kulishwa na hao kuku zake