Nafikiri atakuwa amechanganyikiwa kutokana na dhambi ya USALITI aliyoifanya. Maana ata Yuda alipo msaliti Yesu alichanganyikiwa na kuamua kujinyonga.
Leo hii unamuona Yuda ni mbaya wakati ndiye aliyesababisha wewe ukombolewe na dhambi zako?
Wewe unafikiri asingetokea yeye akamsaliti Yesu, dhambi zako angezibeba nani?
Kweli shukrani ya punda ni mateke!