Gogle
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,495
- 867
Funga mbao pande zote mbili kwa manati.
Khaaa!!
Funga mbao pande zote mbili kwa manati.
ha ha haha nimekumbuka kitu......
nini tena hicho?
sitaki tena
Wakuu
Umri wangu ni miaka 24, nimechelewa sana kufanya tohara, nimetahiriwa miezi mitatu iliopita , tangu nifanye tohara naona kuna mabadiliko mengi, kwanza uume umeongezeka urefu, pili unasimama dede Mara kwa mara na kwa muda mrefu hadi nahisi maumivu na tatu umepinda kushoto.
Kwa unyenyekevu naomba Msaada wenu
hahaaha hurudi nyuma tena
njoo nikupatie dawa.unastyle zake huo.
uume hupinda kwasababu ya chupi za kubana sasa km ni gafla kamuone dr alokufanyia tohara kujua tatizo
mkuu umepotelea wapiThere is always an exception to the general rule!:sad:
ziba masikioyah!!!!!!!!!
mbona mingi imeenda upande........... lakini hata ukichungulia kwenye suruali zao unaona au wakitoka kuoga wamejifunga taulo hehehehehehe..... jaribu kuchungulia wenzio uone ni kwawida sana
Miss Chagga,kwani wewe umeshaziona ngapi zimepindia kushoto ama kulia? Ahahaaaa. ...wee mdadisi sana kumbe . Unakumbuka eeee...
Chunguza kushoto kunanini,kama mmea ukipindia mahali kwenye mwanga tunasema phototropisim,au ukifuata maji tunasema hydrotropism.sasa huo uume inaweza kuwa ni pussytropisim.
Ushauri; nunua rula ya mbao funga na kitambaa kuunyoosha
Na hiyo ni kwa sababu mtoto anapofungwa nepi au diaper unawekwa katikati, lkn mtu mzima huwa na mazoea ya kuuweka upande mmoja. Achunguze packing yake ni upande gani na abadilisheUume pekee ulionyooka wima ni wa mtoto....!!!!
duh!! i think your not serious. are you?Chunguza kushoto kunanini,kama mmea ukipindia mahali kwenye mwanga tunasema phototropisim,au ukifuata maji tunasema hydrotropism.sasa huo uume inaweza kuwa ni pussytropisim.
Ushauri; nunua rula ya mbao funga na kitambaa kuunyoosha