heren shoga.je wale wapaka poda/make up usoni????nawavaa machen shingon....i wavaa vimodo vimewabana miguu mpaka mwendo unahalibika..
No. 3: Umiliki wa gari huhakikiwa kwa kuchunguza aina ya funguo ulizobeba (kama za gari au kabati), sio kwa vumbi la viatu.
Namba 4 hapana kwakweli,si wote
Hiyo no 7 siiamini
mmmh!!! Stata Mzuka hapa alipoibukia Adharusi ndo part II ama?..mbona sielewi hii sinema inakwendaje!!!!!!!!!!!Je, umeshaanza kuwashukuru Watu.. kwa mambo waliyoyafanya kwako tokea 01/01/2013? Hebu fikiri Watu Wasikupigie simu, Wasikujibu Msg, Ukipiga wasipokee, je Simu yako itakuwa na thamani? Anza leo kuwashukuru, Mimi ninaanza kwako. Ahsante sana kwa Msg zako nzuri. Nimezipenda!!! Zimenionya, Zimenikumbusha, Zimenifundisha, Zimenifariji, Zimenitia Moyo na kunifanya nipige hatua kwenda mbele. Heri ya Christmas na mwaka mpya.
mmmh!!! Stata Mzuka hapa alipoibukia Adharusi ndo part II ama?..mbona sielewi hii sinema inakwendaje!!!!!!!!!!!
naMba 4 siYo saHiHi, kuTemBea nA waLLet ni maZoea yA mtU tU, mFaNo ni mE mWenYewe haTa ninGebeBa mIllioni kaMwe huTaniKuta niMebeBana na waLLet. aLwaYz nApeNda niWe fRee & siMple. siO unAtemBea ---- 1 limEvimBa.!! kwAni miFuko yA sUruaLi inA kaZi gAni??
Vipi kama anakupa vimilioni kadhaa kila baada ya muda mfupi, utadiskwalifai..???no 4 ni sahihi kabisa.hata mie mwanaume asiyetumia wallet kuhifadhi hela zake huwa namdisqualify
naMba 4 siYo saHiHi, kuTemBea nA waLLet ni maZoea yA mtU tU, mFaNo ni mE mWenYewe haTa ninGebeBa mIllioni kaMwe huTaniKuta niMebeBana na waLLet. aLwaYz nApeNda niWe fRee & siMple. siO unAtemBea ---- 1 limEvimBa.!! kwAni miFuko yA sUruaLi inA kaZi gAni??
no 4 ni sahihi kabisa.hata mie mwanaume asiyetumia wallet kuhifadhi hela zake huwa namdisqualify