Wakuu kwema,
Siku tatu zilizopita mwili wangu ulikuwa umechoka sana Basi nikaamua kwenda kupima ila nilipoenda majibu yakasema sina malaria, ila jana hali iliendelea kuwa tete nikaendelea kubanwa na kifua ambapo uchovu ulinizidi na masikio kuto kusikia vizuri, nilipoona kwenye ishu ya kutosikia...
Habari zenu wafugaji wenzangu,
Mimi kama mdau wa kilimo na ufugaji. Napenda kuwashirikisha jambo moja muhimu sana, pale unapoingia kwenye Tasnia ya ufugaji na kilimo jua kama biashara yoyote ile ina changamoto zake kama biashara nyingine. Hizi ni baadhi ya picha ambazo siyo rahisi kukutana nazo...
Heri ya mwaka mpya wadau wote wa JamiiForums.
Hakika leo nimekaa na kutafakari toka nimejiunga Jamiiforums je kuna mabadiliko yoyote kwenye maisha yangu kiujumla yani Kiuchumi, Kiroho, Kijamii na Kimwili.
Jibu nikuwa kuna mabadiliko makubwa sana kwenye maisha yangu hivyo nasema ASANTE kwako...
Wanabodi ni matumaini yangu kuwa mnaendele vizuri na kumalizia weekend.
Niende moja kwa moja kwenye point, Vijana wengi tumekuwa wajasiria mali hasa kwenye ufugaji wa kuku,lakini changamoto kubwa tunayokutana nayo ni jinsi ya kupata masoko ya bidhaa zetu yaani Mayai, Kuku kwa ajili ya nyama...
Wanajamii habarini za kazi?
Wakuu naombeni mnisaidie kuhusu mada tajwa hapo juu. Kwasasa nipo Singida na hamna madarasa ya kusoma CPA. Mpango wangu ni kufanya registration mwaka ujao January na kufanya mtihani mwezi wa tano na wakumi na moja mfululizo.
Nimepiaga simu bodi wamenieleza...
Salaam wakuu!
Tafadhali nimebadili PC sasa ninaombeni link ninayoweza kupata application zifuatazo.
1. Application ya kucheza nyimbo both audio and video. kwasasa natumia VLC ila inakwamakwama yani kama ina scratch vile, hivyo kama unajua nyingine kuacha VLC nisaidie ili niipakue hapa...
Salaam wapendwa.
Wafanyabiashara wa Tanzania nina ushauri kwenu baada ya kusikia malalamiko mengi kuhusiana na maswala ya mikopo, au huduma zitolewazo. Kwanza ninaamini wafanya biashara ndio wanaosaidia sana mzunguko wa fedha katika eneo fulani. Pili wafanyabiashara ndio wanao chukua mikopo...
Kama kuna mtu anayehusika na kiwanda cha simba cement au anayejua naomba anipe taarifa. Wanatangaza punguzo kubwa la bei ya hii bithaa yao Sh. 11,800/= kwa mfuko. Mimi nipo moshi nahitaji cement, msaada tafadhali.
:wave::wave::wave:
Chuo cha Udom Na Udoso mnafanya mambo kama si wasomi hivi inakuwaje MTU yupo off campasi halafu mnasema lazima alipe hela ya hosteli Na ya Bima wakati constitution ya chuo inasema wazi kama MTU akiwa Na mimba au Mtoto haruhusiwi kukaa hostel
Sasa hii hela mnayotaka ya hosteli Na MTU hatakaa...
Salaam wote!
financial service providers hasa hasa bank hawafuati utaratibu katika kuajiri mfano Crdb walikuwa wanasema ili upate ajira kwao ni lazima uwe na upper second na tena kama umefanya nao ile unpaid training practical they must consider you kipindi watatanngaza kazi ila kinyume chake...
Salaam kwenu waungwana
Nina mdogo wangu anasoma hapo UDOM, Ila cha kushangaza dogo analalama hadi sasa bado hawajapewa hela ya kujikimu huko mafunzoni, kuna tatizo gani kwa nchi yetu kutokujali wasomi? ninapata shida sana kwamba hawa wakimaliza itakuwaje maana nchi imeamua kuwapeleke vijana...
Vodacom mmepewa tenda na bodi ya mikopo kwa ajili ya malipo ya maombi ya mikopo ila kwa nini vodacom M PESA Haitaki kufanya hayo malipo toka asubuhi tunajaribu kulipa hapa ila majibu yenu ni kwamba reference au namba ya form four tunakosea wakata tunafuata vigezo na masharti sasa nyie vodacom...
This is nice advice and all, but I dare to challenge COMPANIES to redesign their job descriptions and stop forcing someone's resume to fit the description.
The real reason why companies are having a hard time finding the right candidate is because they are spending too much time...
He spoke at top of his voice into the camera, laughing sarcastically.
Let the world know that we were responsible for the bombing within Abuja in an area called Nyanya. [President] Jonathan, you are a lame duck. Jonathan, you are now too small for us. We can only deal with your grand masters...
Wakuu heshima mbele...
Nina swala hapa hivi ni Kwanini kampuni au organization nyingi za hapa nyumbani zinachukua mda mrefu sana kuajiri toka wanapo kuwa! Wametangaza ajira.
Mfano: tangazo linatoka mwezi wa 11 halafu deadline mwisho wa mwezi wa 12: shortlisted for written interview mwezi wa...
Wanajukwaa salamu kwenu. Ninaomba msaada wa kimawazo na ushauri;
Wakuu nipo kwenye utafiti wa kuangalia fursa ya kuanzisha taasisi ya ukopeshaji kwa wananchi ambao hawajapata huduma hii kutoka kwenye mabenk yaliyopo. Sasa wana jukwaa je kwa maoni yenu ni mkoa gani ambao fursa hii ipo, pia ni...
wakuu jana nimenunua anti- virus ila baada ya ku install na ku update inaniambia kuna error na e scan anti virus monitor is not loaded. naombeni msaada jamani maana hii komputa imekuwa nzito sana kwa kila ninachofafanya.
asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.