mbota
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 1,040
- 559
Habari zenu wafugaji wenzangu,
Mimi kama mdau wa kilimo na ufugaji. Napenda kuwashirikisha jambo moja muhimu sana, pale unapoingia kwenye Tasnia ya ufugaji na kilimo jua kama biashara yoyote ile ina changamoto zake kama biashara nyingine. Hizi ni baadhi ya picha ambazo siyo rahisi kukutana nazo hasa kwenye mitandao ya kijamii. Mitandao hii imekuwa ikiaminisha kilimo na ufugaji ni rahisi hasa kwa wadau kupenda kutuonyesha mafanikio tu ili hali kwenye uhalisia wake sivyo.
Mara nyingi mitandaoni huonyeshwa mafanikio tu na si upande wa changamoto.
Pamoja na hayo yote Usikate Tamaa. Unaweza wekeza fedha na muda ukaishia kujifunza tu. Hivyo Jifunze Songa mbele. Picha hizi ni baadhi ambazo tulishare baadhi ya vijana kutoka ukanda huu wa Africa haswa kusini mwa jangwa la Sahara.
Challenge: Unaweza share picha ambazo ni nadra kutoka kwenye hii sekta kwa lengo la kujifunza.
Mimi kama mdau wa kilimo na ufugaji. Napenda kuwashirikisha jambo moja muhimu sana, pale unapoingia kwenye Tasnia ya ufugaji na kilimo jua kama biashara yoyote ile ina changamoto zake kama biashara nyingine. Hizi ni baadhi ya picha ambazo siyo rahisi kukutana nazo hasa kwenye mitandao ya kijamii. Mitandao hii imekuwa ikiaminisha kilimo na ufugaji ni rahisi hasa kwa wadau kupenda kutuonyesha mafanikio tu ili hali kwenye uhalisia wake sivyo.
Mara nyingi mitandaoni huonyeshwa mafanikio tu na si upande wa changamoto.
Pamoja na hayo yote Usikate Tamaa. Unaweza wekeza fedha na muda ukaishia kujifunza tu. Hivyo Jifunze Songa mbele. Picha hizi ni baadhi ambazo tulishare baadhi ya vijana kutoka ukanda huu wa Africa haswa kusini mwa jangwa la Sahara.
Challenge: Unaweza share picha ambazo ni nadra kutoka kwenye hii sekta kwa lengo la kujifunza.