Wewe jamaa ni muhuni tu mwezi wa January tu hapo uliweka chapisho lako kwamba kutarget VIP traffic umefeli ni ngumu kwako na una malengo ya kulenga traffic ya TANZANIA cause ni low quality kwahiyo haiwezi kuwa na KD kubwa kwa hiyo utaweza kufurukuta.
Naona hata kublog kiswahili kumekushinda...
Mambo vipi bloggers
Kwa miaka kadhaa nimekuwa na blogs ninazoziandikia kimombo, sasa najikuta natamani kumiliki blog ya kiswahili.
Lengo langu nipate visitors 2M kwa mwezi kupitia SEO mana bongo competition ni ndogo
Swali ni je mnapataje mpunga kupitia hizi blog za kiswahili
Naombeni ushuhuda kwa wafanyakazi wa ADSENSE waliotumia hizi platform mbili WORDPRESS & BLOGGER ipi ukitumia Ina support kupata mpunga mwingi kwenye kudisplay matangazo ya adsense tu.
Habari za wakati wote waungwana , natumai wote wazima.
Ligi ya tanzanian imedhihirisha kuwa ni kubwa Sasa
Naona timu inayoshika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi inafanya makubwa kimataifa.
Ni wakati wa yanga kujitathimini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.