djwakibajaji
Member
- Mar 2, 2023
- 22
- 17
Wewe jamaa ni muhuni tu mwezi wa January tu hapo uliweka chapisho lako kwamba kutarget VIP traffic umefeli ni ngumu kwako na una malengo ya kulenga traffic ya TANZANIA cause ni low quality kwahiyo haiwezi kuwa na KD kubwa kwa hiyo utaweza kufurukuta.
Naona hata kublog kiswahili kumekushinda wewe ukalime tu hili game huliwezi.
Unasema blogger wanaopata 500k, 1M ni ndogo huu ni uongo mkubwa fatilia vipato vya wantanzania wengi alafu uje uandike vizuri hapa.
Ulisema elimu yako imeishia form 4 wewe ni kanjanja na msomi uliyefeli maisha na unahasira na madogo wanavyokunja vibunda vikubwa in online deals.
Umeikulupukia blogging imekuchapa vibaya sana hakuna pesa rahisi kwenye hii industry you need to work smart and na sio kutumia nguvu nyingi.
Naona hata kublog kiswahili kumekushinda wewe ukalime tu hili game huliwezi.
Unasema blogger wanaopata 500k, 1M ni ndogo huu ni uongo mkubwa fatilia vipato vya wantanzania wengi alafu uje uandike vizuri hapa.
Ulisema elimu yako imeishia form 4 wewe ni kanjanja na msomi uliyefeli maisha na unahasira na madogo wanavyokunja vibunda vikubwa in online deals.
Umeikulupukia blogging imekuchapa vibaya sana hakuna pesa rahisi kwenye hii industry you need to work smart and na sio kutumia nguvu nyingi.