Wadau,
Leo tumekuja na fursa ya kazi (paid opportunity) kwa mafundi waliopo Dar es Salaam. Inaweza ikakufaa wewe au mtu unayemfahamu. Mfikishie taarifa hii.
Tunahitaji Mafundi 5 wenye ujuzi wa kushona nguo za aina zifuatazo:
1. Suruali
2. Makoti ya wapishi wa hoteli
3. Mashati
4. Apron
5...
Kwa upande wetu, sisi tumeandaa package hii kwa Zanzibar.
Hapo utakacholipia labda ni nauli na lunch tu. Lakini breakfast, dinner na moments za ufukweni zote zimo kwenye package kwa siku zote utakazokaa huko.
Kupanga ni kuchagua.
Mfano mzuri ni hapo Zanzibar. Ukiwa na bajeti ya shilingi 160,000/= tu unaweza kufikia beach hotel nzuri sana na ukaenjoy mandhari kwa siku 3 hadi 4 bila malipo ya ziada.
Starehe wala sio gharama. Ni mipango tu.
Ni raha sana kusafiri kwenda likizo nchi za nje na kutalii. Lakini kuna raha pia kama utaweza kwenda maeneo ambayo hujawahi kufika hapa hapa bongo.
Kwa mfano, Tanzania siku hizi imebadilika sana. Kuna sehemu nyingi sana unaweza kwenda kwa bajeti ndogo na ukafurahia sana moments ukiwa mwenyewe...
Ni suala la mtazamo na mazoea tu. Hakuna linaloshindikana hata kwa mtu wa kipato cha chini. Utalii wa ndani unagharimu mpaka elfu 30k tu kwa baadhi ya maeneo, bado wapo wasioenda, utasema tatizo ni kumudu?
Pengine uko sahihi mdau Mshana Jr, lakini zipo sababu nzuri pia za kwenda kutalii nje ya Afrika ikiwemo hali ya hewa, kiwango cha maendeleo na matumizi ya teknolojia, vivutio vya asili, utamaduni, historia na mambo mengine mengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.