Bonheur Travels Tanzania
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 252
- 499
Wadau,
Leo tumekuja na fursa ya kazi (paid opportunity) kwa mafundi waliopo Dar es Salaam. Inaweza ikakufaa wewe au mtu unayemfahamu. Mfikishie taarifa hii.
Tunahitaji Mafundi 5 wenye ujuzi wa kushona nguo za aina zifuatazo:
1. Suruali
2. Makoti ya wapishi wa hoteli
3. Mashati
4. Apron
5. Kofia za wapishi (chef)
NB: Mashine za kushonea na rasilimali zote muhimu zipo.
Piga simu: 0787 212122.
Leo tumekuja na fursa ya kazi (paid opportunity) kwa mafundi waliopo Dar es Salaam. Inaweza ikakufaa wewe au mtu unayemfahamu. Mfikishie taarifa hii.
Tunahitaji Mafundi 5 wenye ujuzi wa kushona nguo za aina zifuatazo:
1. Suruali
2. Makoti ya wapishi wa hoteli
3. Mashati
4. Apron
5. Kofia za wapishi (chef)
NB: Mashine za kushonea na rasilimali zote muhimu zipo.
Piga simu: 0787 212122.