Search results

  1. Obimbo

    Migogoro inayoendelea duniani inathibitisha kutokuwepo kwa huyo Mungu anaye aminiwa kuwepo

    Matthew 24:4-8 [4]And Jesus answered and said unto them, Take heed that no man deceive you. Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye. [5]For many shall come in my name, saying, I am Christ; and shall deceive many. Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni...
  2. Obimbo

    Migogoro inayoendelea duniani inathibitisha kutokuwepo kwa huyo Mungu anaye aminiwa kuwepo

    Mkuu kwanini uwepo wa migogoro unaihusisha na kutokuwepo kwa Mungu badala ya wanadamu kukiuka matakwa ya Mungu?? Maana yote yanayotokea yalishasemwa na Mungu kupitia Biblia juu ya nyakati za mwisho. Kama anavyojieleza Mungu wetu ni Mungu wa upendo na hawezi fanya jambo lolote bila kuwaambia...
  3. Obimbo

    Mganga Mkuu wilaya ya Moshi Mjini afariki dunia akiwa guest house

    Jamaa aweza Kuwa kauwawa maana DMO fedha nyingi za vituo vya afya,hospital na vifaa tiba zinamtegemea yeye katika uidhinishaji hivo hiyo kukutwa gest ikawa geresha ya kuficha kilicho nyuma ya pazia.
  4. Obimbo

    Je, Kuna nadharia kwenye hesabu za kutoa?

    Mkuu hebu nitoe ujinga ktk hili pia, mfano kutakuwa tokea January 15 hadi 18 kunasiku 4 kamili, lakini ukichukua 18-15 =3
  5. Obimbo

    Je, Kuna nadharia kwenye hesabu za kutoa?

    Amani ya Bwana iwe pamoja nanyi. Nilipokuwa kidato cha kwanza kuna mtu aliniuliza umri wangu, wakati natafakari kutoa jibu ndugu yangu aliye karibu akadakia nakusema 14, Jibu la ndugu yangu huyu lilinifanye niwaze,Sio kama nilikuwa sijui umri wangu laaah, baali ni utata nliouhisi katika hesabu...
  6. Obimbo

    Mfahamu binadamu wa kwanza aliyetimiza umri wa miaka 615

    Mwanzo 5:27 [27]Siku zote za Methusela ni miaka mia kenda na sitini na kenda, akafa. And all the days of Methuselah were nine hundred sixty and nine years: and he died.
  7. Obimbo

    Kama Wanakwaya wanavaa hivi basi si ajabu Wengine kuvaa pia!

    Ni kweli mwonekano wa nje ndio tafsiri ya kilichoko ndani, lakini hiii haimaanishi wanaoenda kanisani wote ni watakatifu bali kanisa ni karakana ya kuwaandaa wadhambi wamfahamu Yesu.
  8. Obimbo

    Naomba makadirio ya malipo ya fundi kwa chumba kimoja

    Katika hesabu za ujenzi hakuna kitu kinaitwa kipande mkuu vyote huhesabiwa kama tofar zima na bei yake ni hiyo hiyo.
  9. Obimbo

    Naomba makadirio ya malipo ya fundi kwa chumba kimoja

    Kwa sasa Tofari moja hujengwa kwa 400 hivo 400 x 1800 = 720,000 Uza kazi yote kwa sh 690,000 hadi 750,000 Range nae humo ila usilipe day maana unaweza fanyiwa vimbwanga. Pia usipigiane kwa Tofari kwani mafundi hujenga haraka bila kufuata ubora na muonekano wa kazi. Ila kama utasimamia mwenyewe...
  10. Obimbo

    Sijui alipatwa na nini kilichopelekea kujiua!

    uintrovert nauchukia, unamfanya mtu mambo mengi unakaa nayo rohoni. ila tumaini bado lipo, usipende kukaa mwenyewe Muda mwingi, penda kuimba, penda kusikiliza mziki wa taratibu usio na midundo, lia pale upatwapo na maswaibu, pia tafuta washauri wa saikolojia. Mwisho Yesu ambaye ni tumaini letu...
  11. Obimbo

    Mipango ya siri namna ya kuimaliza dunia imeanza kutamalaki

    Kurejea kwa Mola ambeye hutupatia miisho myema kwani nchi na vyote viijazavyo vitapita
  12. Obimbo

    Mipango ya siri namna ya kuimaliza dunia imeanza kutamalaki

    Nilimsoma mwandishi mmoja aliesema hitaji nambari moja kwa mwanadamu ni upendo. pindi upendo ukosapo mtu hutafuta kila namna ili kujifariji. katika kitabu cha 1 Yoh 4:8 inasema "Yeye asiyependa, hakumjua Mungu kwa maana Mungu ni pendo" hivyo Mungu ambaye ni source ya upendo...
  13. Obimbo

    Tukumbushane changamoto za Usafiri katika kuvuka mito korofi

    Kwao na shemeji yangu ni wafugaji, kama tujuavyo katika msimu wa kiangazi sehemu za malisho kwa mifugo huwa changamoto. Katika kusaka machimbo ya kulisha mifugo wakabaini ya kuwa upande wa pili wa mto mara kunamajani mengi yanayowafaa mifugo yao. Hivo wakawa wanavuka mto na mifugo na kwenda...
  14. Obimbo

    Tukumbushane changamoto za Usafiri katika kuvuka mito korofi

    Amani ya Bwana iwe nanyi, Tunamshukuru Muumba kwani nchi yetu imejaaliwa kuwa na mito mingi mikubwa kwa midogo, ile ya msimu na isiyo ya msimu. Mito hii licha ya kupendezesha sura ya nchi imeleta pia changamoto za usafiri tokea upande mmoja kwenda upande mwingine. Nilipokuwa kijana mdogo...
  15. Obimbo

    Jeshi la Zimamoto na Vibali vya Ujenzi

    Shukran sana kwa mwongozo huu mkuu
  16. Obimbo

    Jeshi la Zimamoto na Vibali vya Ujenzi

    Ahsante sana kwa Mwongozo mkuu, naomba kuuliza tena usinichoke, TAMISEMI wameelekeza ukaguzi wa michoro ufanywe katika eneo moja (One Stop Center) kabla ya kibali kutolewa kwanini tena nitoke kuwafuata Zimamoto peke yao???
  17. Obimbo

    Jeshi la Zimamoto na Vibali vya Ujenzi

    Shukran mkuu, Hiyo nyaraka ninayo, na ilipatikana baada ya kufuata taratibu zoote na hatimae kukabidhiwa. Licha ya kuwa na nyaraka hizo Zimamoto bado wananilipisha faini. Je! Ninalisolve vip bila ya kulipa faini wakati kibali ninacho??
  18. Obimbo

    Jeshi la Zimamoto na Vibali vya Ujenzi

    Asalam Alekum ndugu zangu, Naombeni ufafanuzi juu ya uhisika wa mamlaka ya Jeshi la Zimamoto katika taratibu za uombaji wa kibali cha ujenzi. Nimekuwa nikisimamia ujenzi katika nyumba ya ibada mahala flani lakini watu hawa wamekuwa hawakauki katika eneo hili huku tukipigwa faini juu ya...
  19. Obimbo

    Jengo la Kituo cha Polisi Oysterbay lawa gumzo Nigeria

    Enzi hizo nilipokuwa chuo nlivutiwa na kuleta suluhisho la mlundikano wa mahabusu katika kituo cha polisi mwananyamala, hivo project yangu ikawa kudesign hicho kituo cha polisi. Ili kupata data zake ilinibidi kuzunguka tokea kituo cha mwananyamala,osterbay,wizara ya mambo ya ndani na hatimae...
Back
Top Bottom