Migogoro inayoendelea duniani inathibitisha kutokuwepo kwa huyo Mungu anaye aminiwa kuwepo

punguza stess enjoy maisha mkuu kwani huyo Mungu akiwepo au asipokuwepo kwa akili yako unadhani kuna nongwa basi,
ni vile umeamua kujipa faraja tupu kwa kusema hayupo ila powa tu hainihusu!
Sijui hata kama shule ulienda, na kama ulienda sijui kama ulimaliza hata darasa la 7.

Badala ya kujibu hoja umekalia kunishambulia personally, mara nina stress, sijui nini, sasa sijui umekua mke wangu hadi ujue mood zangu zikoje hata sielewi.

Nina stress ama sina sio hoja, hoja ni uwepo wa mungu. Jadili hoja achana na mimi. Mimi kua na stress ama kutokua nazo bado hujajibu hoja kwamba mungu hayupo.

Shida ya Jamii Forum unajikuta unajibizana na watu wenye shule ndogo, exposure ndogo, uelewa mdogo na akili ndogo na vitu kama hivyo. Hawajibu hoja, hawana hoja, hukimbilia kutukana watu. Tatizo kubwa sana.
 
Sijui hata kama shule ulienda, na kama ulienda sijui kama ulimaliza hata darasa la 7.

Badala ya kujibu hoja umekalia kunishambulia personally, mara nina stress, sijui nini, sasa sijui umekua mke wangu hadi ujue mood zangu zikoje hata sielewi.

Nina stress ama sina sio hoja, hoja ni uwepo wa mungu. Jadili hoja achana na mimi. Mimi kua na stress ama kutokua nazo bado hujajibu hoja kwamba mungu hayupo.

Shida ya Jamii Forum unajikuta unajibizana na watu wenye shule ndogo, exposure ndogo, uelewa mdogo na akili ndogo na vitu kama hivyo. Hawajibu hoja, hawana hoja, hukimbilia kutukana watu. Tatizo kubwa sana.
hoja gani punguza stess wewe?
shure yangu inakuhusu nini mura mimi ni ra saba F
so uritakaje mura
mungu =Mungu
Jamii Forum = Jamii Forums
acha wenge na kujiona smart sana wewe hiyo shule kubwa imekusaidia nini katika Taifa hili lisilokua na kiwanda cha toothpicks na sindano ya kushonea nguo?
Elimu yako ni useless punguza ushamba wa kuchukulia kila kitu serious kamanda utapasuka nyongo ebooo!
 
Matthew 24:4-8
[4]And Jesus answered and said unto them, Take heed that no man deceive you.
Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye.
[5]For many shall come in my name, saying, I am Christ; and shall deceive many.
Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi.
[6]And ye shall hear of wars and rumours of wars: see that ye be not troubled: for all these things must come to pass, but the end is not yet.
Nanyi mtasikia habari za vita na matetesi ya vita; angalieni, msitishwe; maana hayo hayana budi kutukia; lakini ule mwisho bado.
[7]For nation shall rise against nation, and kingdom against kingdom: and there shall be famines, and pestilences, and earthquakes, in divers places.
Kwa maana taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme; kutakuwa na njaa, na matetemeko ya nchi mahali mahali.
[8]All these are the beginning of sorrows.
Hayo yote ndiyo mwanzo wa utungu. Mateso Yatabiriwa.
 
Back
Top Bottom