Naomba makadirio ya malipo ya fundi kwa chumba kimoja

Kihalali, ukifahamu gharama ya vifaa au materials yote ya nyumba hadi inaisha, bajeti ya ufundi inabidi iwe kati ya 20% hadi 25% ya bajeti ya materials
Upo vzuri...Kuna fundi mmoja alinambia atajenga msingi kwa 1.7m
 
Hapo ni tofali bila vipande..maana tofali Moja linaweza toa vipande viwili hadi vinne..au utahesabu tofali tu ulizoleta
Katika hesabu za ujenzi hakuna kitu kinaitwa kipande mkuu vyote huhesabiwa kama tofar zima na bei yake ni hiyo hiyo.
 
site iko wapi?

Kiwanja kiko flat au kina bonde..

makadirio pia yatazingatia vitu hivyo, kujenga msingi sehem flat ni tofauti na kujenga bondeni.

NB: mafundi wa bei rahisi wanatabia ya kukimbia ikifika kozi ya tano, maana kujenga kozi za juu si rahisi na ukuta wako ukipinda, utaumia sana kwenye plasta
 
site iko wapi?
Kiwanja kiko flat au kina bonde...
makadirio pia yatazingatia vitu hivyo, kujenga msingi sehem flat ni tofauti na kujenga bondeni..
NB: mafundi wa bei rahisi wanatabia ya kukimbia ikifika kozi ya tano, maana kujenga kozi za juu si rahisi na ukuta wako ukipinda, utaumia sana kwenye plasta
Eneo flat kabisa..site ipo dsm
 
Wadau naombeni rafu estimates za kumlipa fundi ujenzi nyumba ya kawaida yenye, chumba masters sebule, jiko na stoo.

Je, njia nzuri za kuepuka gharama ni kuhesabu tofali alizojenga au maelewamo tu.
MKOA GANI Trubarg
 
Back
Top Bottom