Je, Kuna nadharia kwenye hesabu za kutoa?

Obimbo

Member
Nov 17, 2020
35
36
Amani ya Bwana iwe pamoja nanyi.

Nilipokuwa kidato cha kwanza kuna mtu aliniuliza umri wangu, wakati natafakari kutoa jibu ndugu yangu aliye karibu akadakia nakusema 14, Jibu la ndugu yangu huyu lilinifanye niwaze,Sio kama nilikuwa sijui umri wangu laaah, baali ni utata nliouhisi katika hesabu.

Nlichukua tena mwaka ule tulokuwepo na kutoa mwaka nlozaliwa mfano (2022-2008)= 14. lakini nlitafakari idadi ya namba zilizopo tokea 2008 hadi 2022 (ukitokea kwenye mfano) ni 15 kwanini miaka yangu isiwe 15 badala ya 14 wakati zote ni namba kamili? nikajifariji kwa vile mwaka ili ukamilike ni vyema uwe na miezi 12.

Utata ukaja kwenye namba ambazo haziitaji ukamilifu wa miezi 12 ili upate mwaka. kwa kweli nilikosa majibu na wote nliowauliza walikuwa wakinibeza. mfano 4-2=2 lakini tokea 2 hadi 4 kuna namba 3 yaani 2,3,4 kwanini jibu lije 2? je niwakatigani namba katika hesabu za kutoa inakuwa inclusive (within range) na wakati gani inakuwa exclusive (out of range)??

Karibuni mnitoe ujinga wadau.
 
Amani ya Bwana iwe pamoja nanyi.

nlipokuwa kidato cha kwanza kuna mtu aliniuliza umri wangu, wakati natafakari kutoa jibu ndugu yangu aliye karibu akadakia nakusema 14, Jibu la ndugu yangu huyu lilinifanye niwaze,Sio kama nilikuwa sijui umri wangu laaah, baali ni utata nliouhisi katika hesabu.

Nlichukua tena mwaka ule tulokuwepo na kutoa mwaka nlozaliwa mfano (2022-2008)= 14. lakini nlitafakari idadi ya namba zilizopo tokea 2008 hadi 2022 (ukitokea kwenye mfano) ni 15 kwanini miaka yangu isiwe 15 badala ya 14 wakati zote ni namba kamili? nikajifariji kwa vile mwaka ili ukamilike ni vyema uwe na miezi 12.

Utata ukaja kwenye namba ambazo haziitaji ukamilifu wa miezi 12 ili upate mwaka. kwa kweli nilikosa majibu na wote nliowauliza walikuwa wakinibeza. mfano 4-2=2
lakini tokea 2 hadi 4 kuna namba 3 yaani 2,3,4 kwanini jibu lije 2? je niwakatigani namba katika hesabu za kutoa inakuwa inclusive (within range) na wakati gani inakuwa exclusive (out of range)??

Karibuni mnitoe ujinga wadau.
Hatuanzi kuhesabu na 1, tunanza kuhesabu na 0.

4-2 =2

Kwa sababu tunaanza 0 hapo 2, tunakuja 1 hapo 3, tunamalizia 2 hapo 4.

Tatizo unaanza kuhesabia 1, yani unafanya siku mtoto anapozaliwa kuwa ndiyo kashafikisha umri wa mwaka mmoja!
 
Mkuu hebu nitoe ujinga ktk hili pia, mfano kutakuwa tokea January 15 hadi 18 kunasiku 4 kamili, lakini ukichukua 18-15 =3
 
Namba ni figures tu ambazo zinawakilisha idadi katika uhalisia, ambayo inaweza kuwa idadi ya vitu vyovyote.
Hivyo tunapodeal na namba tunadeal na uhalisia na sio namba kama namba, ukifanya hivyo ndio utaona haimake sense.

Wewe unajichanya kwenye kuhesabu.
Ukisema baina ya January 15 na 18 kuna siku kamili 4 ni uongo.

Kumbuka siku inakamilishwa na masaa 24, hivyo muda utakaoanza kuhesabu january 15 ndio unaotakiwa kumalizia kuhesabu katika january 18, na hapo ndio utakuwa umekamilisha hesabu.

Ambapo utapata siku 3 ambazo ni kamili.

kumbuka siku kimahesabu inakamilishwa na masaa24

Ukisema kuna siku 4, maana yake umehesabu ½ ya January 15 na ½ ya January 18 kama siku kamili, jambo ambalo ni makosa.
 
Namba ni figures tu ambazo zinawakilisha idadi katika uhalisia, ambayo inaweza kuwa idadi ya vitu vyovyote.
Hivyo tunapodeal na namba tunadeal na uhalisia na sio namba kama namba, ukifanya hivyo ndio utaona haimake sens...
We ndo umenielewesha sasa
 
Amani ya Bwana iwe pamoja nanyi.

Nilipokuwa kidato cha kwanza kuna mtu aliniuliza umri wangu, wakati natafakari kutoa jibu ndugu yangu aliye karibu akadakia nakusema 14, Jibu...
Ulipokuwa kidato cha kwanza pia ulijifunza juu Ya nadharia behind kutoa na kujumlisha. Tena inafundishwa kupitia mstari wa namba.
 
Amani ya Bwana iwe pamoja nanyi.

Nilipokuwa kidato cha kwanza kuna mtu aliniuliza umri wangu, wakati natafakari kutoa jibu ndugu yangu aliye karibu akadakia nakusema 14, Jibu la ndugu yangu huyu lilinifanye niwaze,Sio kama nilikuwa sijui umri wangu laaah, baali ni utata nliouhisi katika hesabu.

Nlichukua tena mwaka ule tulokuwepo na kutoa mwaka nlozaliwa mfano (2022-2008)= 14. lakini nlitafakari idadi ya namba zilizopo tokea 2008 hadi 2022 (ukitokea kwenye mfano) ni 15 kwanini miaka yangu isiwe 15 badala ya 14 wakati zote ni namba kamili? nikajifariji kwa vile mwaka ili ukamilike ni vyema uwe na miezi 12.

Utata ukaja kwenye namba ambazo haziitaji ukamilifu wa miezi 12 ili upate mwaka. kwa kweli nilikosa majibu na wote nliowauliza walikuwa wakinibeza. mfano 4-2=2 lakini tokea 2 hadi 4 kuna namba 3 yaani 2,3,4 kwanini jibu lije 2? je niwakatigani namba katika hesabu za kutoa inakuwa inclusive (within range) na wakati gani inakuwa exclusive (out of range)??

Karibuni mnitoe ujinga wadau.
Nafikiri wakati wote inatakiwa iwe out of range hasa kwa mifano yako. Yaani umezaliwa 2008, hivyo 2008 usiihesabu anzie 2009 ishia 2022. Vivyo hivyo 4-2, mbili iache, uchukue 3 na 4, ni tarakimu mbili, hivyo jibu ni 2.
 
Mkuu hebu nitoe ujinga ktk hili pia, mfano kutakuwa tokea January 15 hadi 18 kunasiku 4 kamili, lakini ukichukua 18-15 =3
Ili siku ikamilike, inakuwa ni Jan 16 ya kwanza, Jan 17 ya pili na Jan 18 ya tatu
 
Back
Top Bottom