Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 27,124
- 50,611
Mambo yapo haya brooManka hata wewe unaamini mambo ya kishirikina🥺
Mambo yapo haya brooManka hata wewe unaamini mambo ya kishirikina🥺
Mambo haya yapo toka dada yangu afariki kuna siku akiwa hospital asubui walimkuta amechanjwa kichwa kizima sina hamu. Uchawi bajama upo sema tusiendekeze kuufatilia but upo tena hautoki mbali ni watu wa karibu kabisa ktk ukoo au maofisini.Umeongea kitu kizito, nimeogopa sanaa,
Haya mambo yanawezekana eeh?
Jaman hii hali/uchawi/mapepo mm huwa inanikutaa automatically yaan natamani kujiuaa kiasi najiona niko tofauti na binadam mwenzangu yaan moyo unakuwa hauna amani cjui huwa nn tatzo Mungu atusimamiee saaaaanaaaaaahTatizo ni kubwa, mamlaka husika inatakiwa kuchukua hatua
Pole sana kemea hilo ni pepo ni roho zinatanga tanga kuharibu roho za wengine.Jaman hii hali/uchawi/mapepo mm huwa inanikutaa automatically yaan natamani kujiuaa kiasi najiona niko tofauti na binadam mwenzangu yaan moyo unakuwa hauna amani cjui huwa nn tatzo Mungu atusimamiee saaaaanaaaaaah
Pole, Yesu ndio solution yakoJaman hii hali/uchawi/mapepo mm huwa inanikutaa automatically yaan natamani kujiuaa kiasi najiona niko tofauti na binadam mwenzangu yaan moyo unakuwa hauna amani cjui huwa nn tatzo Mungu atusimamiee saaaaanaaaaaah
Inategemea na ndoa yao walikua open kiasi ganiLoneliness wakati anae mke? Hivi si mtu hua anaoa wa kumpa faraja ama inakuaje?
Mtu akishaazimia kujiua bhasi ujue hata apate nini bado yale mawazo yatamuwinda na ubaya wa watu wetu wa karibu si waaminifu, mtu anajua akiwaambia madhaifu yake anageuka topicDuuh ni roho za kipepo hakuna cha afya ya akili wala nini. Huyo aliemfanya akose ajira kwa miaka yote hyo eidha alijisahau au dawa ziliisha nguvu hatimae akapata ajira,kuona hivyo akamtupia jini kujiua likamfanya ajiue.... naandika huku naogopa
Hakuna watu miserable na lonely kama watu walio katika ndoa ambazo partners wao ni toxic au hawasomani na kuelewanaLoneliness wakati anae mke? Hivi si mtu hua anaoa wa kumpa faraja ama inakuaje?
Shida nini?hata mm siku siyo nyingi nitafanya hivi
Nitaku "spartacus" sasa hiviNi mhehe? Samahani lakin
Kama una mke anayeplay part yake Kwa usahihi na familia yenye upendo mawazo ya kujiua yanatoka wapSio mke tuu, na watoto wawili wadogo,
Hajamuonea huruma mama yake mjane mbichi aliyefiwa na mmewe miaka miwili iliyopita alafu mbaya zaidi yeye ni first born, very sad, kama kweli ni loneliness alikua mbinafsi.
Mbona wewe kipindi like hukujiuaMambo yapo haya broo
Kipindi ganiMbona wewe kipindi like hukujiua