Niaje wazee.
Leo nimepigwa na butwaa sana.
Ishu iko hivi!
Kuna jamaa mmoja hivi ambae kwasasa yupo kwenye mahusiano na na mwanamke ambae nilishaachana nae (ex wangu), huyo jamaa nadhani amenifahamu kupitia fb maana mimi na huyo mwanamke wangu wa zamani bado facebook ni marafiki, sasa...
Kati ya nyuzi zangu niliowahi kuandika humu, hii ndio ningependa iwe na wachangiaji wengi sana maana ni serious sana inayonihusu, nashindwa kujitambua kua mimi ni "Mtu wa kujichanganya sana na watu/Muongeaji" Au "Ni mtu ambae sijichanganyi kabisa, napenda kukaa mwenyewe/Anti-social au Shy...
Watani wa jadi tukutane hapa, kuelekea mechi ya Jumapili March 8 na mechi nyingine zijazo.
Yanga Sc (jina kamili ni Young Africans Sports Club zamani "KUALA LUMPUR)
ni timu ya soka ya mjini Dar es Salaam iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935 inayoshirikiLigi Kuu Tanzania Bara na ni mabingwa mara 27...
Hivi kwa mfano unakuta mtu kazaliwa tarehe 29 mwezi wa pili, 29/02, na hii tarehe sio kwamba ipo kila mwaka, mwezi wa pili unakuaga na siku 28 mara kadhaa, inamaana kumbe kuna watu unapita mwaka mzima siku yao ya kuzaliwa haitokei kwenye kalenda?!
Natamani sana ningezaliwa 29/02 maana hizi...
Mimi sio mpenzi sana wa Singeli, maana najuaga tu ni makelele, hamna cha maana. Nawasiiliza sana Eminem, Pink, Sia, Jay Z na wengineo wakali kama Barnaba Classic!
Ila baada ya kusikiliza leo kwenye redio ya jirani anaipiga ngoma ya 'Msaga Poison' inaitwa MAMA WA KAMBO na WANANIOGOPA nimegundua...
Habari.
Hapa leo nazungumzia namna ambavyo damu ya marehemu na nafsi yake inavyoweza kumsumbua mtu aliyepo bado duniani.
KWANINI NAFSI YA MAREHEMU IMSUMBUE MTU ALIYE HAI?
*inawezekana kabla ya huyo mtu kufariki kifo chake kimesababishwa na watu, kumsababishia mtu kifo sio lazima umchome kisu...
Leo vodacom imesumbua internet nikaona niunge GB2 za tigo kwa week nzima kwa shilingi 1500,aiseee mtandao upo slow sana, kudownload kitu cha GB1 tuu bi kasheshe! Yaani tigo ni ya kuotea sana sio mjini sio vijijini, 4G ya tigo kidooogo kwa mbali ndio inaifukuzia speed ya voda 3G!
Watumiaji wa...
Klabu ya Manchester City imefungiwa kushiriki kwenye mashindano ya Champions League & Europa League kwa misimu miwili na kulipa faini ya €30m kwa kukutwa na hatia ya kuvunja sheria ya matumizi ya fedha (UEFA Financial Fair Play).
Sent using Jamii Forums mobile app
Marais wastaafu Mhe.Benjamin Mkapa na Mhe.Jakaya Kikwete wameongoza maeflu ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam kumzika aliyewahi kuwa waziri wa viwanda na biashara Iddi Mohamed Simba katika makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni jijini Dar es Salaam.
YETU MACHO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu, unapooa bikra, inamaana unakata utepe, unafungua sild, Wasichana wa kaliba hii wanaofunguliwa sild ni wazuri sana maana wao hawajawahi kufanya hicho kitendo, kwahiyo ni rahisi kurizika na mme wake, tofauti na wale ambao ni used ambao washapiga sana mechi mpaka inafikia hatua ya...
Niko na PC yenye low specifications hapa, sitaki win XP, nataka nidownload image ya lightweight OS nyingine, iwe LUBUNTU, Linux Mint au nyingineyo ya design hiyo, nataka link ya kawaida sio ya U-torrent mwenye nayo tafadhali, nipate image ya uhakika ya kuburn kwenye CD.
Sent using Jamii Forums...
Kwenye kipindi cha leo tena, wakiwa wanaongelea suala la vifo vilivyotokea Moshi kwa Mwamposa, Maoni ya watangazaji Geah Habibu na Mussa Hussein yamenishangaza sana, wameshindwa kuficha hisia zao za kuonyesha wapo upande gani wa kidini na kutoa maoni ya kishabiki.
Geah Habibu na Mussa Husseni...
Mwaka huu 2020? ukiwa bado ni mpya kabisa, tumeshuhudia majanga mengi yanatokea kidunia pia na ndani ya nchi ya Tanzania, nini tafsiri yake? au ni mwaka wa majanga na utakaoondoka na watu maarufu?
Kwa Tanzania hapa ndani ya mwaka huu ikiwa ni mwanzo wa february tuu, tayari tushapata vifo vya...
huyu jamaa mimi nilishamshtukiaga, maana alikua anampost sana samatta, kwenye kipindi chake cha michezo clouds anampigia sana debe samatta, sisi wataalamu tukahisi kabisa huyu jamaa atakua ndie agent wa samatta.
Namskia hapa clouds Fm kwenye xxl jamaa kajitangaza kua yeye ndie agent wa samatta...
Mikoa mitano inayoongoza kuwa na watu wengi wanaoishi Dar, Utafiti huu nimeufanya tarehe 1 January mwaka huu, kutoka stendi za mikoa mbalimbali, mabasi na treni zinazorudisha watu Dar, kulingana na wingi wao.
1. Kilimanjaro - Mkoa huu ndio unaoijaza Dar kwa asilimia kubwa, mpaka sasa...
kwa upande wangu kuna manzi moja hivi ilinivutia sana, inajua mambo yani ile asubuhi tuu kabla hata ya mswaki unapigwa denda mpaka mdomo unakua mwekundu.
halafu ni mtu wa kutoa sana, ashanipa kiwanja miguu 20x20 maeneo ya kigamboni, yuko poa sana.. kwasasa ameolewa lakini bado namuenjoy, naomba...
Hapa nishapigwa nyundo kama 2 hivi, na wote ni wanawake ambao naona hapo baadae wana manufaa, hi ndio hasara ya kujimwambafai maneno mengi sikukuu kama hii unaingia mitini!
Au kesho nizime simu nini wazee maana sielewi bajeti na matumizi haviendi sambamba!
Au nyie mnatumia njia gan kuruka...
Tanzania ni kubwa sana, nashangaa sana pale ninapoona kuna watu wamezaliwa dar, wakitoka sana wameenda kibaha, chalinze au mororogoro, hawajui mazingira mengine, wao wanajua tuu dar, wanasikia tuu mkoani mkoani!
Uzi Huu uwe uzi wa kutuma picha za sehemu mbalimbali hapa Tanzania na kuandika ni...
Nawashangaa sana, jitu na ndevu zake utakuta eti linapitisha mchango eti nalo linaoa! Pumbavu!!!
Ukiliulizwa kwanini unaoa, eti "natimiza nusu ya dinii "
Nimeshawaona wengi sana wakijutia kuoa, tena mikoa tofauti, lakini ambacho sitakisahau ni kisa cha bwana sele, kijana mfanyabiashara mzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.