Heisenberg blue meth
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,310
- 1,628
Watani wa jadi tukutane hapa, kuelekea mechi ya Jumapili March 8 na mechi nyingine zijazo.
Yanga Sc (jina kamili ni Young Africans Sports Club zamani "KUALA LUMPUR)
ni timu ya soka ya mjini Dar es Salaam iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935 inayoshirikiLigi Kuu Tanzania Bara na ni mabingwa mara 27 nchini humo, Yanga ni mabingwa mara 5 kombe la mabingwa Afrika Mashariki Kagame.
Yanga Sc
Jina la utani - Wanajangwani
Uwanja - Uwanja wa Taifa /Uhuru Stadium
Mwenyekiti - Mshindo Msolla
Kocha - Luc Aymael
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Simba Sports (Zamani Sundeland)
Club ni timu ya soka iliyopo mtaa wa Msimbazi, Kariakoo, katika jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara
Ni mabingwa mara 20 wa ligi ya tanzania bara, pia ni mabingwa mara 6 katika kombe la Kagame.[1]
Mechi zao za nyumbani zinachezwa kwenye viwanja viwili, Uwanja wa Uhuru na Uwanja wa Taifa.
Simba Sports Club ni mojawapo ya timu kubwa ya mpira wa miguu nchini Tanzania, wapinzani wao wanaitwa Vijana wa Afrika yaani Younɡ Africans.
Mwanahisa - Mohammed Gulam Dewji (anamiliki 49% ya simba Sc)
Kocha - Sven Ludwig Vandenbroeck
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga Sc (jina kamili ni Young Africans Sports Club zamani "KUALA LUMPUR)
ni timu ya soka ya mjini Dar es Salaam iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935 inayoshirikiLigi Kuu Tanzania Bara na ni mabingwa mara 27 nchini humo, Yanga ni mabingwa mara 5 kombe la mabingwa Afrika Mashariki Kagame.
Yanga Sc
Jina la utani - Wanajangwani
Uwanja - Uwanja wa Taifa /Uhuru Stadium
Mwenyekiti - Mshindo Msolla
Kocha - Luc Aymael
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Simba Sports (Zamani Sundeland)
Club ni timu ya soka iliyopo mtaa wa Msimbazi, Kariakoo, katika jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara
Ni mabingwa mara 20 wa ligi ya tanzania bara, pia ni mabingwa mara 6 katika kombe la Kagame.[1]
Mechi zao za nyumbani zinachezwa kwenye viwanja viwili, Uwanja wa Uhuru na Uwanja wa Taifa.
Simba Sports Club ni mojawapo ya timu kubwa ya mpira wa miguu nchini Tanzania, wapinzani wao wanaitwa Vijana wa Afrika yaani Younɡ Africans.
Mwanahisa - Mohammed Gulam Dewji (anamiliki 49% ya simba Sc)
Kocha - Sven Ludwig Vandenbroeck
Sent using Jamii Forums mobile app