Heisenberg blue meth
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,310
- 1,628
Marais wastaafu Mhe.Benjamin Mkapa na Mhe.Jakaya Kikwete wameongoza maeflu ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam kumzika aliyewahi kuwa waziri wa viwanda na biashara Iddi Mohamed Simba katika makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni jijini Dar es Salaam.
YETU MACHO.
Sent using Jamii Forums mobile app
YETU MACHO.
Sent using Jamii Forums mobile app