Katika Singeli hakuna kama Msaga Sumu

Katika Singeli hakuna kama Msaga Sumu

Heisenberg blue meth

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
1,310
Reaction score
1,633
Mimi sio mpenzi sana wa Singeli, maana najuaga tu ni makelele, hamna cha maana. Nawasiiliza sana Eminem, Pink, Sia, Jay Z na wengineo wakali kama Barnaba Classic!

Ila baada ya kusikiliza leo kwenye redio ya jirani anaipiga ngoma ya 'Msaga Poison' inaitwa MAMA WA KAMBO na WANANIOGOPA nimegundua huyu jamaa ni hatari. Singeli yake imekaa kiujumbe zaidi, melody kali sana. Jamaa nimemuelewa kwa ngoma zake hizi aisee ziko [emoji91] [emoji91]

'Msaga Posion' the KING of SINGELI.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom