kwa ninavyofahamu mimi rais wetu wa JMT ana account twitter na Facebook kwa ajili ya kutoa updates na kukusanya mawazo. vivyo hivyo imekuwa kwa marais wengi kama obama na kagame kuwa na accounts kwenye social networks ambazo ziko verified.
swali je rais wetu ana account JF ambayo iko verified...
Ameyasema hayo wakati wa kikao cha NEC alipokuwa anazungumzia machafuko yanayotokea kwenye chaguzi ndogo especially ile ya kahama.
Amewataka wana CCM kuacha unyonge. Amejihami kwa kusema kwamba hata kama alichokisema kitakuwa ndio habari nzito kwenye vyombo ya habari sawa tu.
Source: News...
Nimeingia ofisini kwa boss wangu mmoja hivi ambae ni kauzu kweli kweli. kifupi hakuniona nikiingia,nilipopiga jicho kwenye screen yake nikakuta anapost kitu JF.
Kwa ukauzu wa huyu boss wangu nina hamu sana ya kuijua ID ili nilinganishe anayopost na ukauzu wake ofisini.
yani haraka haraka nimekwepa foleni na kufanikiwa kufika home saa 19:55.lengo ni kucheki news ili nijue kilichojiri leo juu ya kesi ya zitto na kikao cha CDM.
Dah kufika tu nikavua shati,Kifua wazi,mara shemeji yenu kaleta juice.nikapiga mahesabuuuuuu ,nikaona TBC1 hapana huku watabana.basi...
wakuu naomba msaada. nimepita katika kijiwe kimoja nikasikia vijana wanabishana kuhusu mambo ya siasa. kimoja kati ya walichokuwa wanabishana ni kwamba hayati mwalimu nyerere alikuwa havai nguo za chama chake CCM.
waliponiona waliomba maoni yangu kuhusu hilo.kiukweli binafsi katika kumbukumbu...
hii ni kutokana na macho masikio na mawazo yote ya watanzania kuhamia kwa zitto na CHADEMA.
kuanzia leo usitarajie kuona story ya alhaj kapuya iki make headlines. in short mzee kapuya kasalimika katika hili.
Nimeangalia hii list ya forbes nimeshindwa kuielewa.The World's Most Powerful People List - Forbes .
Ni vigezo vipi vinatumika kumjua huyu mtu ni powerful?
Maana sijajua kigezo cha putin kuwa juu ya obama (if they refer to powerful nation).
sijajua why bill gates yuko juu ya David Cameron...
kuna bwana mdogo mmoja wa miziki hii ya kizazi kipya,nimemsikia anasema eti "kwa wajanja kumegewa ni siri ya ndani" kweli???!is he serious kweli?anaongelewa kumegewa my wife wangu,mama ya watoto wangu au kidemu tu?
ebu hawa watoto wawe serious kidogo.wacha kabisa habari ya mama watoto kumegwa...
Katika pita pita zangu nimekutana ma hii:
"Rafiki wa mwanamke pesa,sasa wewe nyanyua chuma ukawe mlinzi"
Ina ukweli wowote?
Mwenye hangover au stress apite tu kimya kimya
Scenario:
Mmekaa wawili (mwanamke na mwanaume) bar mnakunywa na kula kwa raha zenu,
Inafika kipengele cha kulipa BILL muhudumu analeta BILL na kumkabidhi mwanaume
Swali;
Kwanini wahudumu hukabidhi bill kwa wanaume na sio wanawake?
Utata;
*Je ni mawazo au uzoefu walionao wahudunu kwamba...
Wandugu hili tangazo la airtel kidogo linanipa wasiwasi,
The way wanavyoliweka ni kama maneno yale ya mtaani ambayo neno "kukatwa" lina maana tata kidogo
Yan nikimuangaliaga JB anavyotamka ile "hakatwi mtu hapa" naona kabisa kuna kitu nyuma ya pazia ana maanisha
Anyway inawezekana ni mawazo...
Wakuu naomba muongozo kuhusu misafara binafsi kupewa escort!
Ni vigezo vipi inabidi uwe navyo ili kupewa escort?
Maana siku hizi kwenye foleni kuwekwa pembeni then hiyo misafara ipite ni jambo la kawaida sana!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Wakuu,
Kwa mtu yeyote anayeweza ku unlock iphone 4s toka UK au anaemjua mtu anayeweza please assist and aniambie na gharama ya hiyo service
Ningefanikiwa mapema zaidi ningeshukuru wakuu
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Habari wakuu,
Ni wapi naweza kupata twakimu za majimbo, kata na vitongoji vyote vya Tanzania na vyama vinavyotawala maeneo yao. nimejaribu kufungua website ya NEC http://www.nec.go.tz/ but haifunguki na sina uhakika kama twakimu hiyo itakuwepo.
Msaada tafadhali.
Kwa ninavyohisi kama langa anaona haya yanayotokea kuna mengi sana atakuwa anajiuliza na kama kweli huko alipo ataweza kukutana na Ngwear atamuuliza maswali mengi sana. Kikubwa atataka ajue ni kitu gani Ngwear alifanya ambacho langa hakufanya ambacho kimefanya kifo chake kisipewe uzito kama cha...
Habari zenu wakuu!
Huwa kuna jambo linanichanganya kweli!unakuta kijana wa kiume amemaliza chuo kikuu,anafanya kazi kwa miaka kama mitatu hivi ila cha kushangaza bado anakaa kwa wazazi!kibaya zaidi wengine unakuta wanakaa kwa ndugu very comfortable!
Kinachonikera hawa vijana ndo wa kwanza...
Habari zenu wakuu,
Mimi swali langu ni fupi tu!kuna uhusiano gani wa hamu ya mapenzi (nye**) na hasira?!
Nimejichunguza muda mrefu kidogo na nimegundua nisipopata yale mambo kama kwa wiki hivi nakuwa wa ajabu ajabu yan,kazi haziendi,uwezo wa kufikiri unapungua,hasira hasira bila mpango!Ila pindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.