Rais wa nchi- member ndani ya JF

Rais wa nchi- member ndani ya JF

Kiwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
2,102
Reaction score
910
kwa ninavyofahamu mimi rais wetu wa JMT ana account twitter na Facebook kwa ajili ya kutoa updates na kukusanya mawazo. vivyo hivyo imekuwa kwa marais wengi kama obama na kagame kuwa na accounts kwenye social networks ambazo ziko verified.
swali je rais wetu ana account JF ambayo iko verified?. hii platform ya hapa nyumbani so kama rais angekuwa member nadhan angeweza kuona muelekeo wa yale wananchi wake wanayoyawaza na kuyafikiria.
kama hana naomba ashauriwe awe nayo. kama anayo naombeni ID yake.
tusupport vya nyumbani wandugu rais akiwa mfano sio tu kuendekeza hayo mafacebook na matwitter
ni hayo tu
 
Huko FB na Twitter usidhani kuwa aandikaye ni yeye...haitabadilika hata akiwa na ID hapa.
 
rais wa nje anakusanya maoni kwenye twitter na fb...pathetic shame!!
 
Huko FB na Twitter usidhani kuwa aandikaye ni yeye...haitabadilika hata akiwa na ID hapa.

mkuu najua kuwa sio yeye anaendika but as long as hiyo account imekuwa verified na ina authority yake tutaamini kila kinachokuwa posted kina baraka zake.
 
rais wa nje anakusanya maoni kwenye twitter na fb...pathetic shame!!

nahisi ni chanzo kizuri cha kujua upepo wa kisiasa na wanayoyafikiria wananchi. mtu kama mimi sina njia ya moja kwa moja ya kuongea na rais kwa urahisi
 
Khaa! Chikwete mbona kajiunga na JF kitambo tu!
Niwatajie ID yake?
 
nahisi ni chanzo kizuri cha kujua upepo wa kisiasa na wanayoyafikiria wananchi. mtu kama mimi sina njia ya moja kwa moja ya kuongea na rais kwa urahisi

na ndipo hapo wanachemsha kiuongozi...watanzania 80% wanaishi vijijini na hata wa mijini wote wana access na internet?
 
ngoja maofisa wa tiss waje kututajia jina la mkuu wa kaya
 
nahisi ni chanzo kizuri cha kujua upepo wa kisiasa na wanayoyafikiria wananchi. mtu kama mimi sina njia ya moja kwa moja ya kuongea na rais kwa urahisi
Mfuate twitter
 
Kwamba mkulu ndo anatumia I'd ya ifweero?
Basi tutakua hatuna rais nchi hii!
 
Last edited by a moderator:
Ni haki yake...na hapa JF akaribishwe " man of the people" akikosea kukoment abebe majukumu ..akipatia comments asifiwe.. kote kote,,, Welcom the President. pamoja
 
Back
Top Bottom