Serikali ianze sasa utekelezaji wa wazo la Rais Samia alilotoa mwaka uliopita la kuvuna maji ya mvua Kwa kujenga mabwawa makubwa ili kuwe na hifadhi kubwa ya maji na pengine kusaidia kupunguza athari za mafuriko yanayosababishwa na mvua mahali mbalimbali Tanzania.
Kila nikimtazama Rais wetu, naona matarajio aliyonayo katika kukuza utalii wetu kimataifa ni makubwa mno. Ili kutimiza matarajio hayo, anatumia mikakati mbalimbali hususani kushiriki katika uigizaji wa filamu za kukuza utalii.
Naona Rais akitamani utalii usaidie kuongoza fedha za kigeni nchini...
14/10 tunasheherekea maisha ya Mwalimu aliyoishi hapa duniani na ukisema uisheherekee siku ya kuzaliwa unakosea sana ,siku ya kuzaliwa ni kumbukumbu ya walio hai
Nilisema hapa toka zamani, Israel ni chambo ya Mmarekani kumtia adabu muirani ila waarabu wa magomeni hawakuelewa. Nafurahi Sasa Irani inaendea kuwashiwa moto wa petrol maana kazidi kutoa matamshi ya uvunjifu wa amani
Hapa umemjibu vema huyu mburula na vimaswali vyake vya kitoto na hapo anajiona bonge la genius ,kumbe wenye akili wanaona tatizo la afya ya akili linamnyemelea anatakiwa kuwahi matibabu
Taifa zima linasheherekea maisha yake ya uongozi lakini wewe keyboard warrior unapinga bila sababu, huoni kama unatakiwa kuwahi kupata matibabu ya Afya ya akili ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.