Habari wadau,
Kuna wizi mkubwa sana unaendelea TARURA, na uenda mimi sio mhanga pekee, lakini ni vema nifichue hiki kitu kwa faida yangu na wengineo.
Mimi ninafanya shuguli zangu nchini lakini pia huwa Nasafiri sana. Sasa tangu mwaka jana 2023 mwezi wa 5, kuna gari langu nililipark kwangu ndani ya fence na matairi yote ma4 yalikuwa flat. Kwakuwa hakuna mwingine mwenye funguo, na wala hapakuwa na uwezekano wa kutembea nina hakika halijatoka.
Cha kushangaza nimeingia kwenye website ya TARURA parking online nakuta madeni tena kipindi gari halitembei. Ajabu.
Sasa nimerudi, na bado silitumii, wiki hii yote nakuta tena madeni , tena ya sehemu ata sijawahi kufika. Huu ni wizi wa wazi wazi. Sasa mwenye kufahamu wapi pakwenda kulalamika naomba ushauri. Huu mchezo sidhani kama ni mimi pekee yangu. Waziri husika na mamlaka. Hii sio sawa na sitakubali.
Kuna wizi mkubwa sana unaendelea TARURA, na uenda mimi sio mhanga pekee, lakini ni vema nifichue hiki kitu kwa faida yangu na wengineo.
Mimi ninafanya shuguli zangu nchini lakini pia huwa Nasafiri sana. Sasa tangu mwaka jana 2023 mwezi wa 5, kuna gari langu nililipark kwangu ndani ya fence na matairi yote ma4 yalikuwa flat. Kwakuwa hakuna mwingine mwenye funguo, na wala hapakuwa na uwezekano wa kutembea nina hakika halijatoka.
Cha kushangaza nimeingia kwenye website ya TARURA parking online nakuta madeni tena kipindi gari halitembei. Ajabu.
Sasa nimerudi, na bado silitumii, wiki hii yote nakuta tena madeni , tena ya sehemu ata sijawahi kufika. Huu ni wizi wa wazi wazi. Sasa mwenye kufahamu wapi pakwenda kulalamika naomba ushauri. Huu mchezo sidhani kama ni mimi pekee yangu. Waziri husika na mamlaka. Hii sio sawa na sitakubali.