Hahah sema hamnaga pesa nyingi sana ya halali., Kuzurumiana, kuiba uchawi ndo hela inajaa. Ila kufata vyote kulipia Kodi vzuri kulipa watu mishahara inavyotakiwa kihaki kabisa hapana sio kweli. 😀😀
Hamna sikuizi naona wanashida. Hawatoi msg ya kusema approved. Af hio unaona halipo hewani ni kwamba hujapata simu za wateja ila tangazo limeenda😀😀.
Sometimes Instagram unaweza tangaza usipate chochote. Pole sana hela hawarudishi wale zaidi zaidi watakwambia tupe feedback umeonaje af wanakuacha...
Tiba yake ni dawa tu. Waone Hawa watu kwenye link hii. (Dawa ya fangasi ukeni) dawa zao najua ni nzuri. Baba yangu alishawahi kuwa anasumbuliwa na moyo kwenda mbio dawa Yao ilimsaidia kabisa kupona naamini na hii itakua nzuri.
Msaidizi wa kazi za IT Anahitajika.
Vigezo
Awe anajua kusoma na kuandika vizuri kiingereza
Awe na simu ya smart phone
Awe na uelewa kiasi jinsi ya kutumia computer
Awe anajua kutype kwenye computer
Ofisi ipo Makumbusho Dar es salaam
Kwa alikwepo tayari atume message inbox ikiwa na maelezo...
Makato ya ajabu mnafanya mara tatu kwa kitu kimoja inafika ef10 nzima bila mtu kutumia account yake. Na hayo makato ya mkononi inactive sijui ni Yann pia Hali sijajiunga na huduma ya ivyo. Istoshe niliripoti hili tatizo pale mwenge wakasema watarudisha pesa zangu wanazokata Kila mwezi ila naona...
NMB wanafanya makato ya ajabu sana tena wanafanya mara mbili mbili. Kwa transaction moja. Nilienda kurepoti tatizo hili wakaniambia niandike barua watarudisha lakin hawakurudisha na ndio kwanza naona wanaendelea kufanya makato transaction moja mara tatu.
Na sasaivi nimeona wameongeza kitu...
Ushauri mzuri. wajali wote tu. Kama baba yako mzazi pia ameoenesha upendo kwenye maisha yako ww huna budi kumpenda na kumjali pia. Mda mwengine huwezi jua yeye alishindwana nn na mama ako wakaachana. Vitu vyengine huwezi mwambia mtoto. Utaleta uchonganishi usio na maana kwa mzazi mwenza. Ushauri...
Aisee pole sana. Ila unauhakika ni tatzo la testestorone? Inawezekana ikawa inachangiwa na vitu vyengine. Labda mahusiano mabovu na mkeo, au kukosa pesa au kile unachokipenda kukosa. Kwa hayo maelezo yako nilivyosema vinahusiana sana. Usikurupuke kunywa dawa nenda hospital kwanza
Ivyo vtu sivinaongeleka tu. Kama unaweza ww mchane live kwamba umeshindwa muulizane mnafanyaje kuusu mtoto basi. Aking'ang'ania mwachie tu. Wengi wanachukuaga baada ya mda akiona ushirikiano hamna anakurudishia.
Arusha ofc zao naona hazina matangazo sana. Ila nimegundua kwa Arusha na sehem nyingi naona hawa watu bongomassage wapo reliable. Ukilipia booking Wanakuja hotelini bila wasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.