Search results

  1. kibangubangu

    Waandishi wa habari wa Tanzania, baadhi wasivyojua namna ya kusimamia maudhui ya taarifa za viongozi wa juu kama Raisi

    Kiutendaji wa kiuslama kiongozi au vyovyote....Je si busara baadahi ya picha hasa za maeneo nyeti kama haya yakimaandalizi ziruke kupitia ofisi ya Rais media na si vyombo binafsi?Nikiwa na maana taarifa za awali za picha za michakato ya kiitelejensia zisiruke kupitia vyombo binafsi???? Kama...
  2. kibangubangu

    Waandishi wa habari wa Tanzania, baadhi wasivyojua namna ya kusimamia maudhui ya taarifa za viongozi wa juu kama Raisi

    Wepesi wetu wa kuaminiana na undugu kitaifa ndiyo hatari ya kesho yetu ambayo ina maswali magumu na isiyo tingishika... Matukio ya leo ya viongozi wa juu yanapasa kuilinda kesho ya nchi yetu na siyo kesho yao. .... Matumizi ya camera au jicho la kidigitali ni muhimu sana kwa taasisi kubwa...
  3. kibangubangu

    Waandishi wa habari wa Tanzania, baadhi wasivyojua namna ya kusimamia maudhui ya taarifa za viongozi wa juu kama Raisi

    Hili tukio si jepesi kwa leo ila lina gharama sana kesho sababu...kesho yetu ni raini sana kiutekelezaji wa uharifu😊 Camera ni jicho na jicho ni haramu kama tu litaona na kuonesha vitu ambavyo si rafiki kiusalama.
  4. kibangubangu

    Waandishi wa habari wa Tanzania, baadhi wasivyojua namna ya kusimamia maudhui ya taarifa za viongozi wa juu kama Raisi

    Umakini wa watu wetu wa habari ni muhimu sana kwa kila hatua ya nchi...Ikiwemo Raisi... Budi zipo juu ya nini kinaendelea huko ndani...lakini usalama wa Taaisi uwe wa kwanza...hakuna sababu ya kila hatua kuwa wazi...hasa za kiulinzi Uwazi wa mambo ya ndani hata kama kwa bahati mbaya ni...
  5. kibangubangu

    Waandishi wa habari wa Tanzania, baadhi wasivyojua namna ya kusimamia maudhui ya taarifa za viongozi wa juu kama Raisi

    Unauhakika boss?wakati na muda ni vitu muhimu sana ,kama ungekubari kutulia mbele ya simu yako angalau ingekuonesha yote hayo uliyo hoji au kuto yaona...Mmmh.,..Anyways. nimekusoma....
  6. kibangubangu

    Waandishi wa habari wa Tanzania, baadhi wasivyojua namna ya kusimamia maudhui ya taarifa za viongozi wa juu kama Raisi

    Una miakili mingi sana...Hahhahaha mtu kama rais anahitaji muda kidogo kurusha maudhui yake.... Kama utafanya bila kuhariri maana yake unamuweka raisi wako katika matukio magumu kesho yake ni kama unaonesha matukio yanafanyikaje...ulinzii wake upoje...Anyway...She is a president...kila kitu...
  7. kibangubangu

    Waandishi wa habari wa Tanzania, baadhi wasivyojua namna ya kusimamia maudhui ya taarifa za viongozi wa juu kama Raisi

    Wakati mwingine nadhani ni vizuri au busara kuto alika waandishi wa habari katika matukio ya ndani,au nyeti...Ambayo yatahitaji weredi wa nini kirushwe au nini kisirushwe.... Uvivu wa baadhi ya waandishi wa habari kuhariri,kulingana na muktadha kunasababisha baadhi ya watu kutoa taarifa ambazo...
  8. kibangubangu

    Barua kwa mama

    Mama, sio kila mwanga unaweza kuonesha au kuangaza kile king'aacho katika uso wa Dunia... Japo macho yako yana angaza na kuona hata punje ya mchanga...ILA Kuna viang'aavyo huvioni sababu Kuna Maumbo na kingo zinazo tengeneza vimvuli vinavyo "Over shadow" the brilliant sparkels... Vimvuli...
  9. kibangubangu

    Kusema dunia itafika mwisho ni kama kusema Mungu kazi yake aliyoianzisha imemshinda

    😊😂😂...wewe mwenye akili kubwa ulikua unasemaje? Naomba hoja yako tafadhari!
  10. kibangubangu

    Kusema dunia itafika mwisho ni kama kusema Mungu kazi yake aliyoianzisha imemshinda

    Na kama hili likisemwa na kuwekwa wazi kama hivi litanyoosha kona na mikunjo mingi... Asante... Dunia yetu bado ipo ipo sana...
  11. kibangubangu

    Jengo lile bila “kuchoma moto” hakuna teuzi wala Kiongozi ataweza simamia

    Mama amegusa sehemu nyeti ya majizi Konki...Amegusa shimo la giza lenye mi-n'ngee Amesha mwaga petrol hata kabla ya moto taharuki yake ni kama tetemeko... Sijui akisha washa njiti ya kiberiti na kuanza kuelekeza kwenye hiyo midudu nini kitatokea... Maana kwa sasa midudu inahemea hadi wa...
  12. kibangubangu

    Jengo lile bila “kuchoma moto” hakuna teuzi wala Kiongozi ataweza simamia

    Kule kwetu wana msemo usemao pahali penye kuimbwa nyimbo za karibu mgeni ndipo pa kupaogopa[emoji23]
  13. kibangubangu

    Jengo lile bila “kuchoma moto” hakuna teuzi wala Kiongozi ataweza simamia

    ..hii imekua nzito sana kwako mkuu kuitafsiri???! Basi sawa maana usije nipa kesi[emoji4]
  14. kibangubangu

    Mwanadamu mwenye njaa ni mnafiki; hana na wala haoni aibu hata kwa kinywa chake mwenyewe

    Kwa unafiki wa sifa na mapambio unaoendelea kwa hayati Rais yetu aliyefariki madarakani,k wa wale waliokua wanamkosoa awali na kumuona mtu muovu na mkosaji..na sasa wanamuona nabii na mtu mtakatifu. Hili ni funzo kwako Wewe mwanadamu ambaye bado una nyama mbichi, na Moyo ambao bado unasukuma...
  15. kibangubangu

    Jengo lile bila “kuchoma moto” hakuna teuzi wala Kiongozi ataweza simamia

    Huna haja ya kuweweseka wala kukosa usingizi.... Jengo haliuzwi...ila linachomwa kabisa kuondoa mizizi ya hasara na mazingaombwe... Maana kama kuteua wameteua kama kutengua wametengua ila wapi... Dawa ya jengo lenye tunguli ni moto... Na baada ya moto Mwarabu ataanza at fresh point...
  16. kibangubangu

    Kusema dunia itafika mwisho ni kama kusema Mungu kazi yake aliyoianzisha imemshinda

    Mungu sio mtu wala kitu...Mungu ni tukio lolote lililosababisha uwepo wako na wa mazingira yako...[emoji4][emoji4][emoji4]
Back
Top Bottom