Search results

  1. Ravalomanana

    Idadi ya watu

    Kwanini watu wengi hata viongozi wa dini wanaamini hapa duniani wanawake ni wengi mno kuliko wanaume japo takwimu zinakataa?, nchi yenye asilimia kubwa ya wanawake hapa duniani ina asilimia 54 tu na kidunia wanaume ni 50.4% na wanawake ni 49.6%
  2. Ravalomanana

    Mji wa Lindi unatia huruma

    Mji wa Lindi unatia huruma, hali yake ya kiuchumi sio nzuri, biashara ni ngumu na ukuaji wake ni wakusuasua utadhani sio manispaa, ukilinganisha na Masasi tofauti ya maendeleo ni kubwa, Masasi mji unakua sana, vituo vingi vya mafuta vinajengwa, magesti, vighorofa vidogo vinaanza kujengwa, kunani...
  3. Ravalomanana

    Kila mwanamke anataka kuolewa na Mwanaume mrefu tu

    Leo hii kila mwanamke anasema hataki kuolewa na mwanaume mfupi, kila mwanamke anataka mwanaume mrefu na warefu ni wachache sana, sasa hao wanawake wataolewa na nani ikiwa wanaume warefu wanahesabika?
  4. Ravalomanana

    Msaada: Namna ya kupata namba ya kitambulisho cha Taifa

    Habari humu, naomba msaada nimemisplace nida yangu nitumie njia gani au nitume sms kwenda namba gani kuzipata zile namba za nida
  5. Ravalomanana

    Mipango miji Mbeya, kuweni wabunifu mpunguze hii hali ya ujenzi holela

    Jiji la Mbeya ni moja ya majiji yaliyochangamka sana kibiashara hususani eneo la Mwanjelwa, lakini ni jiji lililojengwa kiholela sana. Karibia asilimia 60 ya nyumba zake ni za matofali ya udongo, ukiondoa iwambi na forest maeneo yaliyobaki yana hali ngumu, wenyewe wanapaita Green City ingawaje...
  6. Ravalomanana

    Sheria za barabarani Mbeya

    Mkoa wa Mbeya umeweka utaratibu wa magari ya abiria na malori kusubiriana kwenye milima ili yapite kwa zamu. Katika utaratibu huu, magari husubiri kwa muda wa nusu saa ili magari ya aina nyingine yapite. Utaratibu huu uko barabara ya Mbeya -Tunduma na huchelewesha sana abiria sababu kuna...
  7. Ravalomanana

    Shule kufungwa kwa sababu ya corona

    Katika kipindi hiki cha ugonjwa wa corona lilitolewa agizo na serikali kua shule zote pamoja na vyuo vifungwe ili kupunguza misongamano, lakini cha kushangaza kwa baadhi ya mikoa Kama tanga kuna baadhi ya halmashauri zimeanza kukiuka agizo hili kwa kuwataka walimu wawepo ofisini siku zote...
  8. Ravalomanana

    Shule kufungwa kwa sababu ya corona

    Katika kipindi hiki cha ugonjwa wa corona lilitolewa agizo na serikali kua shule zote pamoja na vyuo vifungwe ili kupunguza misongamano, lakini cha kushangaza kwa baadhi ya mikoa Kama Tanga kuna baadhi ya halmashauri zimeanza kukiuka agizo hili kwa kuwataka walimu wawepo ofisini siku zote...
  9. Ravalomanana

    Mapato ya Halmashauri kutoka Julai - Desemba mwaka wa fedha 2019

    Haya sasa wale wenzangu tuliokua tukipigia debe miji ya moshi na morogoro iwe jiji hebu tuangalie uhalisia mana tumekua tukiipambanua Sana miji hii na kuikosoa miji Kama tanga na mbeya Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Ravalomanana

    Nini sababu ya matone ya mvua kuwa meusi?

    Habari siku ya tarehe 21 mwezi huu huku wilayani Handeni ilinyesha mvua inayotoa maji yenye rangi nyeusi, jambo hili limewaogopesha wengi kama kuna mtaalamu hapa hebu anijuze sababu ni nini Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Ravalomanana

    Wadada mbona hamueleweki?

    Hivi hawa wadada wanaotafuta ndoa kwa upepo wa kisulisuli mbona siwaelewi, ukiwatongoza wanaleta nyodo halafu wanawasumbua viongozi wa dini wawaombee. Sasa lengo lao ni lipi, maana wanaume ndio sisi sisi!
  12. Ravalomanana

    Uchaguzi serikali za mitaa

    Walimu wakuu na wakuu wa shule wilaya ya Handeni wapewa agizo kuhakikisha walimu wao wote wanajiandikisha kwenye daftari la uchaguzi wa serikali za mitaa,je sheria inasemaje ?
  13. Ravalomanana

    Upimaji wa vvu

    Habari wana jukwaa ,hivi kale ka utaratibu ka kupima watu vvu kwenye hospitali za uma kabla hujapata Huduma ya ugonjwa husika kameondolewa? maana juzi nilipata Huduma kwenye hospitali ya mkoa wa Tanga bombo huo utaratibu sijaukuta ingawaje ulikuepo mwanzo
  14. Ravalomanana

    Sheria ya ukimwi ya mwaka 2008

    Ndugu zangu watanzania katika siku za karibuni kumekua na utaratibu kwa hospitali za serikali kuwalazimisha wagonjwa kupima virusi vya ukimwi kama masharti ya kupata matibabu na ukikataa hupati matibabu,lengo langu ni kutaka kujua je ni kweli wizara ya afya imetoa agizo hilo au ni taratibu tu za...
  15. Ravalomanana

    Museveni

    Leo kwenye mkutano wa wafanyabiashara wa Uganda na Tanzania unaofanyika Dar rais wa uganda Museveni amepewa tafsiri isiyo rasmi wakati akihutubia na kuomba msaada wa tafsiri ya neno bone marrow ,kwa bahati mbaya alietoa tafsiri kwa kutojua alitafsiri kua bone marrow ni uroto wakati tafsiri...
  16. Ravalomanana

    Maumivu gani makali zaidi

    Kumekuwepo na mitazamo mbalimbali kuhusu ni Maumivu gani hasa ni makali zaidi,wanawake wengi wanaamini uchungu wakati wa kujifungua ndio Maumivu makali hasa kuliko kitu kingine, lakini kuna wanawake kadhaa waliowahi kuhojiwa nchi mbalimbali waliorodhesha baadhi ya Maumivu makali waliyowahi...
  17. Ravalomanana

    Ardhi

    Kwa wale wataalamu wa masuala ya ardhi naomba msaada, hivi kama Kiwanja ulikinunua kwa mtu kikiwa kimeshapimwa wakati wa ufuatiliaji wa hati kuna malipo yanaitwa premium Kama inavyoonekana kwenye picha hua ni kila anayetaka hati anachajiwa maana niliwahi kusikia kua kama Kiwanja ulikinunua kwa...
  18. Ravalomanana

    e Government pay

    Habari nahitaji kujua hivi malipo ya egovt pay yanafanyikaje katika bank maana fomu niliyopewa inakitu kinaitwa control number na sio ac namba Sent using Jamii Forums mobile app
  19. Ravalomanana

    Kwanini mkoa wa Iringa hakuna hoteli zenye hadhi ya juu

    Hivi kwanini Iringa hakuna hoteli zenye hadhi, juzi nilikuwa huko niliona kama hoteli moja hivi angalau yenye hadhi lakini nyingine ni kama gesti, hebu wadau wa Iringa mtuambie tatizo ni nini mbona majirani zenu Mbeya mahoteli ni mengi
Back
Top Bottom