Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,384
- 1,313
Mkoa wa Mbeya umeweka utaratibu wa magari ya abiria na malori kusubiriana kwenye milima ili yapite kwa zamu. Katika utaratibu huu, magari husubiri kwa muda wa nusu saa ili magari ya aina nyingine yapite.
Utaratibu huu uko barabara ya Mbeya -Tunduma na huchelewesha sana abiria sababu kuna maeneo kama matatu hivi yenye miinuko mikali kama pale Mbalizi.
Rai yangu kwa viongozi wangetafuta njia mbadala ya kupunguza ajali ambazo hazitakua kero kwa abiria.
Utaratibu huu uko barabara ya Mbeya -Tunduma na huchelewesha sana abiria sababu kuna maeneo kama matatu hivi yenye miinuko mikali kama pale Mbalizi.
Rai yangu kwa viongozi wangetafuta njia mbadala ya kupunguza ajali ambazo hazitakua kero kwa abiria.