Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,382
- 1,308
Kumekuwepo na mitazamo mbalimbali kuhusu ni Maumivu gani hasa ni makali zaidi,wanawake wengi wanaamini uchungu wakati wa kujifungua ndio Maumivu makali hasa kuliko kitu kingine, lakini kuna wanawake kadhaa waliowahi kuhojiwa nchi mbalimbali waliorodhesha baadhi ya Maumivu makali waliyowahi kuyapata ambayo yanazidi Maumivu ya uchungu wa kujifungua ,baadhi yao waliorodhesha Maumivu ya gall stone, kidney stone, root canal, broken bone, heart surgery, severe migraine n.k naombeni mawazo yenu