Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,384
- 1,310
Habari siku ya tarehe 21 mwezi huu huku wilayani Handeni ilinyesha mvua inayotoa maji yenye rangi nyeusi, jambo hili limewaogopesha wengi kama kuna mtaalamu hapa hebu anijuze sababu ni nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app