Search results

  1. M

    Watumishi wa Umma:Serikali imetukata mishahara yetu bila taarifa

    Mi sh 10000 imechukuliwa kama ilivyo
  2. M

    DDD kwa combination ya HGE

    Kwa ufaulu wa mwaka huu usitegemee sana kupata udsm
  3. M

    Mume wangu hapendi sex

    Umemshauri kiungwana sana mwelewa ataelewa vizuri sana
  4. M

    Kwanini vijana wa Tanzania wanazeeka haraka?

    Kuzaliwa mwanaume mateso mateso kuhangaika. Nitarudi tu kwenye enzi zangu maana maisha yamenipiga ila napigana nayo ili nirudishe zangu heshima
  5. M

    Unamkumbuka Marlaw?

    Siku hizi wanabebwa na video zipo clear sana ila hakuna ujumbe.
  6. M

    Unamkumbuka Marlaw?

    Nikikumbuka sup za chuo kikuu huwa nakosa ujasiri wa kurudi chuo. Sikuwahi kupata sup ila wanangu walikuwa wanatia huruma sana. Unakuta vyuma 4 kati ya tisa ni sup alafu lecturer wa masomo hayo mkuda hatariii. Shikamoo economic
  7. M

    Waziri Kalemani: Wilaya ya Chato itakuwa miongoni mwa Majiji Makubwa nchini

    Mkuu kwa utawala huu lolote linawezekana kwa 100% and no one can reason
  8. M

    I don’t wanna marry him, what should I do?

    Tittle ya kizungu maelezo ya kiswahili.
  9. M

    WhatsApp imepata tatizo gani ?

    Mi leo kiukweli hadi nilipiga chini wasap ila nikadownload nyingine tatizo lilelile. Kazi za ofisi leo ngumu sana hadi nimeacha kiporo
  10. M

    Naomba msaada kupata salary slip

    Mbona ipo active Mkuu au shida mtandao?
  11. M

    RC Makonda amuomba radhi Rais Magufuli na watanzania wote kwa kipigo ilichopata Taifa stars

    Hahaaaa bora ntulie mie maana naona mbele giza. Msemaji wa timu ya taifa
  12. M

    Hapa nimebambikizwa au nimeibiwa mtoto?

    Duh. Wanawake Mungu anawaona
  13. M

    Hapa nimebambikizwa au nimeibiwa mtoto?

    Mtoto huyo alizaliwa 2016 mwezi 4 tarehe 2
  14. M

    Hapa nimebambikizwa au nimeibiwa mtoto?

    Hahaaaa namjua sana na anaitwa Lightness sikoi yupo Dodoma Nkuhungu
  15. M

    Hapa nimebambikizwa au nimeibiwa mtoto?

    Huyo dada anaitwa nani?
  16. M

    Hapa nimebambikizwa au nimeibiwa mtoto?

    Huyo mdada yupo Dodoma hadi sasa.
  17. M

    Ukiacha kazi ujiajiri jamii haikuelewi kabisa

    Mtoa mada umeelewaka sana na nakupongeza kwa hilo. Cha msingi endelea kujipanga na kuielimisha jamii kuwa Shule kwanza maana usije kusababisha vijana wasiende Shule kisa njia za mkato. Toa elimu kuhusu faida za kusoma Pia toe elimu ya kuwekeza kwenye Kilimo Mwisho waliopo kwenye ajira...
Back
Top Bottom