Nikikumbuka sup za chuo kikuu huwa nakosa ujasiri wa kurudi chuo. Sikuwahi kupata sup ila wanangu walikuwa wanatia huruma sana. Unakuta vyuma 4 kati ya tisa ni sup alafu lecturer wa masomo hayo mkuda hatariii. Shikamoo economic
Mtoa mada umeelewaka sana na nakupongeza kwa hilo. Cha msingi endelea kujipanga na kuielimisha jamii kuwa Shule kwanza maana usije kusababisha vijana wasiende Shule kisa njia za mkato.
Toa elimu kuhusu faida za kusoma
Pia toe elimu ya kuwekeza kwenye Kilimo
Mwisho waliopo kwenye ajira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.