my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Kuna kaka nilikuwa namuonaga handsome sana. Sijamuona miaka mingi tokea tuhame leo nimemuona instagram amezeeka mpaka anatia huruma uhandsome wote umesha, na ninavyojuwa hajafika hata 25 nakumbuka mimi wakati niko standart 7 yeye alikuwa secondary ila sikumbuki darasa. Sasa leo nimemuona amekomaa amezeeka utafikiri ana 40 kumbe ni mtoto tu. Mwenye alikuwa ga serious huyo hataki mazoea alikuwa anasoma awe engineer sasa sijui hajawa engineer tena naona anapost picha anafundisha amekuwa sijui mwalimu wa nursery anapost picha na vitoto vimevaa uniform vitoto vichafuuuu. Amezeeka amekuwa kama mzee mpaka huruma. Hivi kwanini vijana wa tz wanazeeka mapema? Tatizo ni nini?