Kupata D au E ya physics A level ni kazi kubwa kuliko kupata degree ya biashara au ya arts, je ni kweli?

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,515
Nimekumbuka mbali sana wakati nipo chuo kikuu cha taifa nafanya zangu degree ya biashara.

Majamaa waliosoma pcm walikuwa wanapasua sana na kuona mambo marahisi huku wengi wao hawasomi sana chuo

Kuna mmoja wapo alikuja na hoja kwamba physics ya a level ina mambo mengi ya ku cover kuliko b com degree nzima..

Wakasema topic moja ya physics tu ina vitu vingi kuliko corse nzima ya b com kwenye semester.. ndio maana wao hawasomi sana chuo ila wanapasua tu

Leo nimekumbuka hoja yao baada ya dogo kuniomba masaada nimnunulie baadhi ya vitabu vya a level. Nimeenda madukani hayo mavitabu tu. Nimekumbuka enzi zile chuo hoja za wana science nikaanza kucheka mwenyewe.

Je wale mliosoma pcm a level na degree za biashara humu.. je ni kweli physics ni ngumu kuliko degree nzima ya business?
 
Aisee D au E

nyie majamaa acheni hizo

Ishu nzima ni kusoma na kutulia kwa umakini na kulipenda somo lenyewe
Of course part ngumu zipo ila sio za kufanya mtu akose A

Mimi nilipata A , advanced physics , namba 8 kitaifa
Mzee baba Physics ni ishu nyingine anyway hongera sana nice performance ila mmmh kuna miaka huwa inaaibisha watu mfano 2013 Physics ilianzia C kitaifa may be walikuwa vilaza eti??
 
Aisee D au E

nyie majamaa acheni hizo

Ishu nzima ni kusoma na kutulia kwa umakini na kulipenda somo lenyewe
Of course part ngumu zipo ila sio za kufanya mtu akose A

Mimi nilipata A , advanced physics , namba 8 kitaifa
phyisics upate mtu anayeijua akuelekeze na lilikua somo ambalo nalipenda sana advance kuliko masomo yote...ila nilipata B mtihani wa mwisho.....na ni kweli kama ukiweza vizuri physics basi course ambazo zina hesabu ndani yake hazitakua na matatizo maana anayejua physics pia hesabu yuko vizuri....we fikiria mtu unasoma hadi mass ya electron, dunia,plancks costant, na mcostants nyingi tuu zinakua kwenye fingerprints it was great time katika maisha yangu ya elimu
 
Mzee baba Physics ni ishu nyingine anyway hongera sana nice performance ila mmmh kuna miaka huwa inaaibisha watu mfano 2013 Physics ilianzia C kitaifa may be walikuwa vilaza eti??
Physics ya mwaka 2013 , walikaziwa sana

Na kulikua na sababu ya Necta kufanya vile , nilionyeshwa lile paper

Unajua shida ni nini mkuu , madogo of course wengi wanapenda kufaulu ila wanasoma simple na hawasomei Passion yaani mtu anakomaa na vipamphlet tu , nenda mzumbe utakuta kila aina ya kitabu madogo wanatumia kusoma au feza boys

Mtu anatakiwa asome maswali mengi na ajue vitu vingi kwa upana wake

Angalia mfano huu , kijana akiambiwa ataje application mojawapo ya Operational amplifier ataitaja moja ya mixers

Lakini nyingine moja inaitwa voltage follower or buzzers ambayo basicaly kwenye roger muncaster wala chand hawajaandika imeandikwa kwenye nelkon edition ya zaman

Hivyo vijana wasome !
 
Physics ya mwaka 2013 , walikaziwa sana

Na kulikua na sababu ya Necta kufanya vile , nilionyeshwa lile paper

Unajua shida ni nini mkuu , madogo of course wengi wanapenda kufaulu ila wanasoma simple na hawasomei Passion yaani mtu anakomaa na vipamphlet tu , nenda mzumbe utakuta kila aina ya kitabu madogo wanatumia kusoma au feza boys

Mtu anatakiwa asome maswali mengi na ajue vitu vingi kwa upana wake

Angalia mfano huu , kijana akiambiwa ataje application mojawapo ya Operational amplifier ataitaja moja ya mixers

Lakini nyingine moja inaitwa voltage follower or buzzers ambayo basicaly kwenye roger muncaster wala chand hawajaandika imeandikwa kwenye nelkon edition ya zaman

Hivyo vijana wasome !
kipindi hicho tungekuambia mkuu uko deep
 
Physics ya mwaka 2013 , walikaziwa sana

Na kulikua na sababu ya Necta kufanya vile , nilionyeshwa lile paper

Unajua shida ni nini mkuu , madogo of course wengi wanapenda kufaulu ila wanasoma simple na hawasomei Passion yaani mtu anakomaa na vipamphlet tu , nenda mzumbe utakuta kila aina ya kitabu madogo wanatumia kusoma au feza boys

Mtu anatakiwa asome maswali mengi na ajue vitu vingi kwa upana wake

Angalia mfano huu , kijana akiambiwa ataje application mojawapo ya Operational amplifier ataitaja moja ya mixers

Lakini nyingine moja inaitwa voltage follower or buzzers ambayo basicaly kwenye roger muncaster wala chand hawajaandika imeandikwa kwenye nelkon edition ya zaman

Hivyo vijana wasome !
Mkuu uko vizuri na umefafanua vizuri kabisa especially suala la kutosoma kwa passion ila 2013 labda kama ulivyosema hakuna cha Mzumbe, Ilboru, Kibaha,Marian wala Feza mtu aliyepata B au A ya Physics
 
phyisics upate mtu anayeijua akuelekeze na lilikua somo ambalo nalipenda sana advance kuliko masomo yote...ila nilipata B mtihani wa mwisho.....na ni kweli kama ukiweza vizuri physics basi course ambazo zina hesabu ndani yake hazitakua na matatizo maana anayejua physics pia hesabu yuko vizuri....we fikiria mtu unasoma hadi mass ya electron, dunia,plancks costant, na mcostants nyingi tuu zinakua kwenye fingerprints it was great time katika maisha yangu ya elimu
Naipenda sana

Ipo kwenye damu yangu , hebu fikiri hichi

since matter and energy zinaweza ku inter change each other , hii inamaanisha kwamba it is possible to transport each and everythin in the universe as electromagnetic wave, ila sasa kuconvert matter into energy it needs to be accerelated to attain the speed of light . This is the main difficultness of this new technology , kama sisi wanasayansi tutaweza ku achieve hii technology

Basi the world is going to be very sophticated !

Hii ni kwa mtu anayependa physics kutoka moyoni

Kingine mkuu , sisi physics tulkua tunajfundsha wewe
 
Mkuu uko vizuri na umefafanua vizuri kabisa especially suala la kutosoma kwa passion ila 2013 labda kama ulivyosema hakuna cha Mzumbe, Ilboru, Kibaha,Marian wala Feza mtu aliyepata B au A ya Physics
Yes ndugu walikaziwa paper lilikua gumu

Hata mimi pale ningepata B

Ila kuna jamaa angu lazima angepata A yaani yeye hata utunge mtihani umekaa uchi yaani hachelewi kukuaibisha

The guy was genius i appreciate him
 
Naipenda sana

Ipo kwenye damu yangu , hebu fikiri hichi

since matter and energy zinaweza ku inter change each other , hii inamaanisha kwamba it is possible to transport each and everythin in the universe as electromagnetic wave, ila sasa kuconvert matter into energy it needs to be accerelated to attain the speed of light . This is the main difficultness of this new technology , kama sisi wanasayansi tutaweza ku achieve hii technology

Basi the world is going to be very sophticated !

Hii ni kwa mtu anayependa physics kutoka moyoni

Kingine mkuu , sisi physics tulkua tunajfundsha wewe
hahhaha yeah mkuu hii nimeipta kwenye kitabu kimoja cha stephen hawkings sema hapo kwenye ku accelerate near the speed of light maana according to albert eistein as the body acceralate near speed of light it increases energy and mass increases and then the mass could be infinty ila tusubri maybe kunaweza kuwa na more findingsthen ...yeah mkuu kama ukiipenda physics its fun na ukijifunza physics hata uwezo wa kufikiria unaongezeka sana
 
hahhaha yeah mkuu hii nimeipta kwenye kitabu kimoja cha stephen hawkings sema hapo kwenye ku accelerate near the speed of light maana according to albert eistein as the body acceralate near speed of light it increases energy and mass increases and then the mass could be infinty ila tusubri maybe kunaweza kuwa na more findingsthen ...yeah mkuu kama ukiipenda physics its fun na ukijifunza physics hata uwezo wa kufikiria unaongezeka sana

Hapo ndo tunafikiri mambo yaweje sasa

Cc :mad:kiranga
 
Physics ya mwaka 2013 , walikaziwa sana

Na kulikua na sababu ya Necta kufanya vile , nilionyeshwa lile paper

Unajua shida ni nini mkuu , madogo of course wengi wanapenda kufaulu ila wanasoma simple na hawasomei Passion yaani mtu anakomaa na vipamphlet tu , nenda mzumbe utakuta kila aina ya kitabu madogo wanatumia kusoma au feza boys

Mtu anatakiwa asome maswali mengi na ajue vitu vingi kwa upana wake

Angalia mfano huu , kijana akiambiwa ataje application mojawapo ya Operational amplifier ataitaja moja ya mixers

Lakini nyingine moja inaitwa voltage follower or buzzers ambayo basicaly kwenye roger muncaster wala chand hawajaandika imeandikwa kwenye nelkon edition ya zaman

Hivyo vijana wasome !
Duh. Nimeomba PCB, ila hiyo mifano wallah sijawahi iona. Nilibahatikaga kupata C, na ndo iliyonibeba kwa combination but....mmmmhhhhhh
 
Back
Top Bottom