Waziri Kalemani: Wilaya ya Chato itakuwa miongoni mwa Majiji Makubwa nchini

This doesn’t look good at all!
Achilia upendeleo wa waziwazi, it is the worst precedent ever set by the High Office without fear of God.

Retired presidents, who made the king, why are you mum? Come out please! Otherwise the blame will fall squarely on your shoulders as silent partsans of the evil scheme.
 
Ili eneo liwe Jiji, ni lazima eneo husika liwe ni makao makuu ya mkoa.

Chato siyo makao makuu ya mkoa, kwa hiyo haiwezi kuwa Jiji.

Geita ndiyo makao makuu ya mkoa, na ndiyo inaweza kuwa manispaa, hatimaye Jiji.

Chato inaweza kufikia jadhi ya manispaa tu, na haiwezi kuwa Jiji.

Someni sheria!
Mkuu kwa utawala huu lolote linawezekana kwa 100% and no one can reason
 
Nah

Mimi hilo la kumaliza muda wake na kuondoka sina kabisa wasiwasi nalo.

Pamoja na kwamba kwa ujumla wetu tuko makondoo, sidhani kama, kama taifa tutamkubalia aendelee kung’ang’ania madarakani.
Mwacheni afanye atakavyo. Nani amethubutu kujaribu kuzuia hayo anayofanya? Sembuse kuachia utamu!
 
Waziri wa Nishati nchini Tanzania, Dk Medard kalemani amewataka wawekezaji wa nje na ndani kwenda kuwekeza katika wilaya ya Chato mkoani Geita akisema inazo fursa mbalimbali kwani baada miaka kadhaa wilaya hiyo itakuwa miongoni kwa majiji makubwa nchini humo.

Dk Kalemani ambaye pia ni Mbunge wa Chato (CCM) ameyasema hayo leo Julai 9, 2019 wilayani Chato katika uzinduzi wa Hifadhi ya Taifa ya Burigi- Chato akisema wilaya hiyo inavyo vivutio vya kitalii na miundombinu kama uwanja wa ndege wa kimataifa.
Rais wa Tanzania, John Magufuli ambaye yuko mapumzikoni wilayani humo ndiyo anayezindua hifadhi hiyo mpya.

“La mwisho niwakaribishe tena wananchi wote wa jirani, wabunge, wa mkoa wa Geita, waheshimiwa, wakurugenzi, wenyeviti wa halmashauri, mtakapoondoka hapa mpeleke salamu kwa Watanzania wote kwamba sasa Chato inawekezeka,” amesema Dk Kalemani.

“Tunazo baraza nzuri, tuna uwanja wa ndege mkubwa tena wa Kimataifa, hivi karibuni tunajenga uwanja wa mpira, Chato stadium ambao utatumika kuwekeza na kuvutia watalii na hasa wa nje ya nchi,” amesema
Amesema wilaya hiyo pia imepakana na ziwa Victoria na inachukua eneo kubwa na inayo madini.

“Kubwa zaidi hivi karibuni mheshimiwa Rais umezindua umeme mkubwa wa maji wa Rufiji. Kwa hiyo umeme utakuwa wa uhakika maeneo ya nchi yetu na hapa Chato,” amesema
“Kwa hiyo nichukue nafasi hii kuwaambia wawekezaji waje kuwekeza, ili Chato nayo baada ya miaka kadhaa itamkike kati ya majiji makubwa hapa nchini,” alisema Dk Kalemani.

Aliendelea kuwakaribisha wawekezaji, akisema wilaya hiyo ina uhaba wa hoteli.

“Naomba wawekezaji wakubwa wawekeze kwenye mahoteli makubwa. Tuna changamoto ya hoteli. Mahoteli makubwa kama Ma Kilimanjaro hotel, ma Seven Seven,” alisema.

Awali, Waziri Kalemani alimwomba Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangalla kusogeza mpaka wa hifadhi hiyo ili kuwe na mpaka mkubwa ili wananchi wailinde.

Ameliomba Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) kutoa elimu kwa wananchi ili wasidhurike na wanyama wa hifadhi hiyo.

Dk Kalemani pia ametumia fursa hiyo kumweleza Rais Magufuli kuhusu kero za wakulima wa pamba akisema wanasumbuliwa na wanunuzi wa zao hilo.
Umeme wa maji ya mto Rufiji? Au nimesoma vibaya?
 
Waziri wa Nishati nchini Tanzania, Dk Medard kalemani amewataka wawekezaji wa nje na ndani kwenda kuwekeza katika wilaya ya Chato mkoani Geita akisema inazo fursa mbalimbali kwani baada miaka kadhaa wilaya hiyo itakuwa miongoni kwa majiji makubwa nchini humo.

Dk Kalemani ambaye pia ni Mbunge wa Chato (CCM) ameyasema hayo leo Julai 9, 2019 wilayani Chato katika uzinduzi wa Hifadhi ya Taifa ya Burigi- Chato akisema wilaya hiyo inavyo vivutio vya kitalii na miundombinu kama uwanja wa ndege wa kimataifa.
Rais wa Tanzania, John Magufuli ambaye yuko mapumzikoni wilayani humo ndiyo anayezindua hifadhi hiyo mpya.

“La mwisho niwakaribishe tena wananchi wote wa jirani, wabunge, wa mkoa wa Geita, waheshimiwa, wakurugenzi, wenyeviti wa halmashauri, mtakapoondoka hapa mpeleke salamu kwa Watanzania wote kwamba sasa Chato inawekezeka,” amesema Dk Kalemani.

“Tunazo baraza nzuri, tuna uwanja wa ndege mkubwa tena wa Kimataifa, hivi karibuni tunajenga uwanja wa mpira, Chato stadium ambao utatumika kuwekeza na kuvutia watalii na hasa wa nje ya nchi,” amesema
Amesema wilaya hiyo pia imepakana na ziwa Victoria na inachukua eneo kubwa na inayo madini.

“Kubwa zaidi hivi karibuni mheshimiwa Rais umezindua umeme mkubwa wa maji wa Rufiji. Kwa hiyo umeme utakuwa wa uhakika maeneo ya nchi yetu na hapa Chato,” amesema
“Kwa hiyo nichukue nafasi hii kuwaambia wawekezaji waje kuwekeza, ili Chato nayo baada ya miaka kadhaa itamkike kati ya majiji makubwa hapa nchini,” alisema Dk Kalemani.

Aliendelea kuwakaribisha wawekezaji, akisema wilaya hiyo ina uhaba wa hoteli.

“Naomba wawekezaji wakubwa wawekeze kwenye mahoteli makubwa. Tuna changamoto ya hoteli. Mahoteli makubwa kama Ma Kilimanjaro hotel, ma Seven Seven,” alisema.

Awali, Waziri Kalemani alimwomba Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangalla kusogeza mpaka wa hifadhi hiyo ili kuwe na mpaka mkubwa ili wananchi wailinde.

Ameliomba Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) kutoa elimu kwa wananchi ili wasidhurike na wanyama wa hifadhi hiyo.

Dk Kalemani pia ametumia fursa hiyo kumweleza Rais Magufuli kuhusu kero za wakulima wa pamba akisema wanasumbuliwa na wanunuzi wa zao hilo.
Pia alisema unapomuona mfalme unaongea vyoote
 
Wameweka bank..wateja kwa siku wanaoingia hawazidi idadi ya wfanyakazi.
Waliona mbali kwamba kutakuwa na hifadhi ya Taifa, kutakuwa na uwanja wa ndege wa kimataifa na sasa uwanja huo mkubwa wa kisasa ukikamilika bila shaka mabenki yao yatakuwa yanafurika wateja.
 
Wameweka bank..wateja kwa siku wanaoingia hawazidi idadi ya wfanyakazi.
Ndio tutakavyo, Hospitali kubwa ya rufaa na madaktari na manesi wawe wengi kuliko wagonjwa. Mahoteli makubwa wafanyakazi wengi kuliko wagonjwa na polisi wawe wengi kuliko wahalifu ili amani iwe ya uhakika.
Hiyo ndio Chato, achana na lile jiji la Mobutu
 
Mchaga hawezi kuwa na tako hilo
Screenshot_20190709-233610.jpeg
 
Waziri wa Nishati, Dr Medard kalemani amewataka wawezaji wa ndanio na nje ya nchi kuwekeza katika wilaya ya Chato mkoani Geita kwa madai kuwa kuna fursa mbalimbali na kwamba baada ya miaka kadhaa wilaya hiyo itakuwa miongoni mwa majiji makubwa nchini

Dr Kalemani ambaye pia ni Mbunge wa Chato (CCM), alisema hayo jana katika uzinduzi wa Hofadhi ya taifa ya Burigi-Chato akiisifu kuwa wilaya hiyo yenye vivutio vya kitalii na miundombinu kama uwanja wa ndege wa kimataifa. La mwisho niwakaribishe tena wananchi wote wa jirani, wabunge wa mkoa wa Geita, waheshimiwa, wakurugenzi, wenyeviti wa halmashauri, mtakapoondoka wote kwamna sasa Chato inawezekana" alisema Dr Kalemani

Tunazo barabara nzuri, tuna uwanja wa ndege mkubwa tena wa kimataifa, hivi karibuni tunajenga uwanja wa mpira (Chato Stadium) ambao utatumika kuwekeza na kuvutia watalii na hasa wa nje ya nchi.

SOURCE: MWANANCHI NEWSPAPER PAGE NO 2
 
Ili eneo liwe Jiji, ni lazima eneo husika liwe ni makao makuu ya mkoa.

Chato siyo makao makuu ya mkoa, kwa hiyo haiwezi kuwa Jiji.

Geita ndiyo makao makuu ya mkoa, na ndiyo inaweza kuwa manispaa, hatimaye Jiji.

Chato inaweza kufikia jadhi ya manispaa tu, na haiwezi kuwa Jiji.

Someni sheria!
Siku moja kijana fulani alifanya kosa. Nikamweleza kuwa sio vizuri. Nikaeleza kuwa muungwana hafanyi hivi bali hufanya haya na haya. Alinikata kauli kwa swali: nani kakwambia mimi muungwana? Wasome sheria ipi? Hawahitaji hizo sheria zako kufanya mambo yao. Kipi huko kinatendeka au kujengwa kwa sheria? Sheria zipo tena nzuri tu kwa wafuata sheria. Uhalifu ni uvunjifu wa sheria. Mhalifu huvunja sheria anazojua vizuri sana. Wasikilize wakiwa mahakamani. Kibatala wanamtoa jasho. Kalemani haitaji kusoma sheria. Udaktari wake wa falsafa unatosha kupata hizo habari kama anazihitaji. Hotuba yake inaonyesha sheria hazina nafasi. Hakuna PhD holder anaweza kuongea maneno kama yale. Je, kama ameweza kuyaongea Kalemani? Automatically atakuwa phd (pombe hadaa dunia) holder!
 
Hakuna cha fursa wala cha nini sema wanataka watumie vibaya kodi za wananchi. Kama ni fursa mbona zipo kila mkoa na siyo chato tu.
 
Nimependa hapo kwenye makondoo, huo ndiyo ukweli wa waTz tulio wengi. Bila huu ukondoo tungekua mbali sana. Ukienda vijijini ndo unauona zaidi ukondoo na inasikitisha sana kuona hata wanasiasa wanalijua hilo na kuutumia huo ukondoo kama fursa kwao.
Nah

Mimi hilo la kumaliza muda wake na kuondoka sina kabisa wasiwasi nalo.

Pamoja na kwamba kwa ujumla wetu tuko makondoo, sidhani kama, kama taifa tutamkubalia aendelee kung’ang’ania madarakani.
 
Ukweli ni kwamba, Rais John Pombe Joseph Magufuli ni FISADI na MBADHIRIFU MKUBWA WA MALI ZA UMMA kuliko alivyokuwa Jakaya Mrisho Kikwete!!

Bagamoyo ina sifa mara 1000 kuzidi Chato, sifa za kuiwezesha Bagamoyo kuwa jiji la kisasa na la kitalii lakini Mkwere hakuwahi kujenga hata uwanja wa netball! Masasi ni mji uliochangamka tena huenda unauzidi hata Geita, na pale wala sio mbali sana na Liwale iliko Mbuga ya Selous iliyojaa wanyama wa kila aina! Lakini Mkapa wala hakulazimisha eti Masasi pajengwe hata uwanja wa kawaida wa ndege let alone international airport!

Yaani sipati picha Magu angekuwa ndo rais wa kwanza, si angeifanya Chato ndo Makao Makuu ya nchi?! R.I.P Baba wa Taifa manake ingawaje ulikuwa na uwezo wa kuifanya Butiama kuwa angalau mkoa, au makao makuu ya mkoa, lakini katu hukufanya hivyo!!

Leo hii watu wanajisifia kujenga international airport Chato huku wakihamisha wanyama kutoka kwingine kuwapeleka kudhani eti ndo hatimae midege itaanza kuruka kutoka ughaibuni hadi Chato! Akili za ajabu kabisa hizi!
 
Waziri wa Nishati nchini Tanzania, Dk Medard kalemani amewataka wawekezaji wa nje na ndani kwenda kuwekeza katika wilaya ya Chato mkoani Geita akisema inazo fursa mbalimbali kwani baada miaka kadhaa wilaya hiyo itakuwa miongoni kwa majiji makubwa nchini humo.

Dk Kalemani ambaye pia ni Mbunge wa Chato (CCM) ameyasema hayo leo Julai 9, 2019 wilayani Chato katika uzinduzi wa Hifadhi ya Taifa ya Burigi- Chato akisema wilaya hiyo inavyo vivutio vya kitalii na miundombinu kama uwanja wa ndege wa kimataifa.
Rais wa Tanzania, John Magufuli ambaye yuko mapumzikoni wilayani humo ndiyo anayezindua hifadhi hiyo mpya.

“La mwisho niwakaribishe tena wananchi wote wa jirani, wabunge, wa mkoa wa Geita, waheshimiwa, wakurugenzi, wenyeviti wa halmashauri, mtakapoondoka hapa mpeleke salamu kwa Watanzania wote kwamba sasa Chato inawekezeka,” amesema Dk Kalemani.

“Tunazo baraza nzuri, tuna uwanja wa ndege mkubwa tena wa Kimataifa, hivi karibuni tunajenga uwanja wa mpira, Chato stadium ambao utatumika kuwekeza na kuvutia watalii na hasa wa nje ya nchi,” amesema
Amesema wilaya hiyo pia imepakana na ziwa Victoria na inachukua eneo kubwa na inayo madini.

“Kubwa zaidi hivi karibuni mheshimiwa Rais umezindua umeme mkubwa wa maji wa Rufiji. Kwa hiyo umeme utakuwa wa uhakika maeneo ya nchi yetu na hapa Chato,” amesema
“Kwa hiyo nichukue nafasi hii kuwaambia wawekezaji waje kuwekeza, ili Chato nayo baada ya miaka kadhaa itamkike kati ya majiji makubwa hapa nchini,” alisema Dk Kalemani.

Aliendelea kuwakaribisha wawekezaji, akisema wilaya hiyo ina uhaba wa hoteli.

“Naomba wawekezaji wakubwa wawekeze kwenye mahoteli makubwa. Tuna changamoto ya hoteli. Mahoteli makubwa kama Ma Kilimanjaro hotel, ma Seven Seven,” alisema.

Awali, Waziri Kalemani alimwomba Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangalla kusogeza mpaka wa hifadhi hiyo ili kuwe na mpaka mkubwa ili wananchi wailinde.

Ameliomba Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) kutoa elimu kwa wananchi ili wasidhurike na wanyama wa hifadhi hiyo.

Dk Kalemani pia ametumia fursa hiyo kumweleza Rais Magufuli kuhusu kero za wakulima wa pamba akisema wanasumbuliwa na wanunuzi wa zao hilo.
Dreams are dreams, reality is reality. But sometimes big ideas start with dreams
 
Ili eneo liwe Jiji, ni lazima eneo husika liwe ni makao makuu ya mkoa.

Chato siyo makao makuu ya mkoa, kwa hiyo haiwezi kuwa Jiji.

Geita ndiyo makao makuu ya mkoa, na ndiyo inaweza kuwa manispaa, hatimaye Jiji.

Chato inaweza kufikia jadhi ya manispaa tu, na haiwezi kuwa Jiji.

Someni sheria!
Sheria zetu ubadilishwa kwa matakwa ya watawala - kama ulikuwa hujui.
 
Waziri wa Nishati, Dr Medard kalemani amewataka wawezaji wa ndanio na nje ya nchi kuwekeza katika wilaya ya Chato mkoani Geita kwa madai kuwa kuna fursa mbalimbali na kwamba baada ya miaka kadhaa wilaya hiyo itakuwa miongoni mwa majiji makubwa nchini

Dr Kalemani ambaye pia ni Mbunge wa Chato (CCM), alisema hayo jana katika uzinduzi wa Hofadhi ya taifa ya Burigi-Chato akiisifu kuwa wilaya hiyo yenye vivutio vya kitalii na miundombinu kama uwanja wa ndege wa kimataifa. La mwisho niwakaribishe tena wananchi wote wa jirani, wabunge wa mkoa wa Geita, waheshimiwa, wakurugenzi, wenyeviti wa halmashauri, mtakapoondoka wote kwamna sasa Chato inawezekana" alisema Dr Kalemani

Tunazo barabara nzuri, tuna uwanja wa ndege mkubwa tena wa kimataifa, hivi karibuni tunajenga uwanja wa mpira (Chato Stadium) ambao utatumika kuwekeza na kuvutia watalii na hasa wa nje ya nchi.

SOURCE: MWANANCHI NEWSPAPER PAGE NO 2

Hakunachochote, hizo ni sauti za mavuvu zela yaliyopigwa.
Huo ndi ubinafsi na matumizi mabaya ya raslimali za watanzania. Wanafikiri watadumu madarakani milele ili waifanye iwe miongoni mwa majiji makubwa.
Watakaokuja baada ya wao hawata fanya unyonyaji wanayo fanya hao.
 
Back
Top Bottom