Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,381
ndio nani huyoAli Kiplate
ndio nani huyoAli Kiplate
Idara gani?marlaw kwa sasa ni mtumishi wa serikali ya jumuhuri ya muungano wa Tanzania......
kaamua kuacha muziki, ana hela nzuri tuAngekuwepo ndani ya WCB mngeanza kumnanga oooh Diamond anampotezaa Kumbe bila Diamond angekua kashapotea
Jamaa anakipaji cha kuzaliwa,alitoa album akiwa form six,na umaarufu haukumfanya apoteze malengo yake,aliendelea na chuo,akaoa na kushika uelekeo anaoutaka.Kuwa mwanamziki hayakuwa malengo ya Lawrence Malima,ila tunammiss sana.
Akiimba kwenye graduation madem walikuwa wanamshangilia sana, enzi hizo niko zangu form 2 yeye form 6...
naona wadau wanadai yupo kitengoKweli hata mimi umenikumbusha lakini simjui alipo lakini humu jamvini tutapata jibu
2007 vijana wa Oklahoma......kisoso yuko na second master mgimwa
Dah mshumbusi cjui atakuwepo mpaka leo...Mshumbusi akimiliki vizuri kabisa eneo la jiko
. 👍kaamua kuacha muziki, ana hela nzuri tu
Haloo baby, natamani niwe nyumbani nimekwama hapa njiani kuna jam baby.....
I love you mamaa, I love you mamaa my baby my baby...
Haloo haloo haloo. .......
Unanikatia simu unanionea, wee ungekuwepo ungejionea...... unanionea mamaa.....
Marlaww...... nilikuwa napenda anavyocheza.
Nikikumbuka sup za chuo kikuu huwa nakosa ujasiri wa kurudi chuo. Sikuwahi kupata sup ila wanangu walikuwa wanatia huruma sana. Unakuta vyuma 4 kati ya tisa ni sup alafu lecturer wa masomo hayo mkuda hatariii. Shikamoo economic"Mbona umenuna nuna
na hucheki tenaa
Najuta naogopa,
Roho inaniumaaa
Haikuwa langu kusudiooo
Wee uumieee
Vile umenuna unaniweka
Roho juu beibe!"
Hii ngoma ilitoka nikiwa ktk mkwamo wa ajabu sana, kushoto mpenzi anazingua, kulia kuna sup 3 na zote zimekaa vibaya! Na uchumi nao ulishayumba vibaya!
Daaah! Marlaw alikuwa noma sana!
Siku hizi wanabebwa na video zipo clear sana ila hakuna ujumbe.kweli nyimbo zazamani tamu sana,hivi siku hizi wanaimba nini