mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,564
- 6,403
Kwa kweli, maana muda huu wasipokua makini wanaweza kukosa nafasi kwa kutojua ni kipi kifanyike na kwa wakati gani!May be kajichanganya tu.
Kwa kweli, maana muda huu wasipokua makini wanaweza kukosa nafasi kwa kutojua ni kipi kifanyike na kwa wakati gani!May be kajichanganya tu.
Cha kizamani lakini ndo kinachoongoza kwa ubora hapa Tanzania,baada ya kutemwa ndio akili itakuja kichwani sasa hivi bado mnataka kwenda UDSM kuwaoshea wenzenu chuo chenyewe cha kizamani hicho basi tu ushamba wenu vijana.
Bro mm nimesoma BAMShida ya wanafunzi wengi mnataka kusoma kwa show off, mnang'ang'ania course zilizowazidi vigezo, mtu anang'ang'ana asome UDSM au SUA wakati matokeo mabovu.
Bad enough umesoma HGE, hesabu hukusoma bado unataka course za science, are you serious? ,ww wa HGE ungesoma BBA,BAEC etc ungefanya vzur zaidi.
Bro mbna sijakuelewa,
Ukisoma TCU guide book utajua mengi kuhusu vigezo unavyotakiwa kuwa navyo ili uweze kusoma hiyo course, jaribu kutafuta hicho kitabu utajua mengi.Habar zenu wakuu? Hvi kwel naweza kwenda kusoma Udsm kwa dv 2 ya 12 especially coz ya Bachelor of Science in Agricultural and natural resources economics and business administration?
Bro mbna sijakuelewa,
uliza ambacho hakielew
Usiishie kusema hujaelewa, sema ambacho hujaelewa usaidiwe
Nashkuru mkuu kwa uxhaur wko, God bless you n G9tApply SUA Bachelor of science in Agriculture Economics and Agribusiness fanya kuwahi tu mapema first round wakat majority waliokuwa wanasoma ili wafike DAR wana upuuzi wao bado, HGE Bsc AEA unapiga fresh tu ma lecture wa SUA wako vzur utakuwa vizuri tu ukitia juhudi na nidham,
NB: kuna mtu anaitwa HESLB na COMPETITION wakwanza ka mfuko mrefu haina shida ila huyo wa pili n independent na amefanya weng waache kusoma sio tu walivyotaka pia na walivyostahili na kwenda ambapo wamepata nafasi hata kama hayakuwa machaguo ya kwanza ya pili na hata ya tatu