(hapa inakaaga salamu)
Itoshe tu kusema ulistahiri TUZO hii. Tunaofuatilia kazi zako ni wengi kuliko idadi unayo kadiria.
Umepeperusha bendera ya Tanzania
====
Leo nilifika mbele ya Wizara ya Wizara ya sanaa ambapo Wizara iliandaa hafla ya kuwapongeza Watanzania waliotwaa tuzo za Kimataifa...
Mwagona
Miaka Kama kadhaa nyuma nilipitia wakatii mgumu Sana kimaisha kiasi kwamba nikaanza tabia ya kujitenga na watu wa rika yangu.
Hali hiyo iliendelea kukomaa taratibu imefika kipindi najiona Mimi ni watofauti Sana na wenzangu (in positive way)
Kinachonisumbua kwa Sasa hivi naona Kama...
Mwagona.
Ujio wa matoleo ya iPhone kwa Tanzania huwa ni msiba mkubwa hasa Wazazi Wanaume na makaka.
Kwani hicho ndo huwa visa vya dada zetu kuliwa tunda kimasihara kisa simu.
Tujiandae kusikia matukio ya hawa ndugu zetu ambayo chanzo ni tamaa.
Uzi tayari
.
Wasalaaam
Wakuu nimechukua fomu ya kujiunga na chuo cha veta kwa mwaka 2020 lengo langu nisome kozi ya HEAVY DUTY EQUIPMENT MECHANICS lakini nilipo kuja kuangalia form course hiyo haipo kwenye chuo cha veta mbeya.
Je ni fani gani nyingine inayoweza kunipa kazi au kipato kwa haraka...
Wasalaam
Mimi na kijana mwenye umri wa miaka 20 niko mbeya.
Natafuta kazi yoyote halali ili mradi tu iniingizie kipato cha kujikimu na hali ya maisha.
Elimu yangu ni kidato cha tatu kwa bahati mbaya nilishindwa kuendelea na masomo kutokana na kukosa ada huku mimi nikiwa ndo tegemezi katika...
Wasalaam
Mimi ni kijana wa miaka 21 naombeni mni kopeshe shilingi elfu saba ambayo nitailipa baada ya siku tatu
Lengo langu nataka nifanye biashara ya kuuza karanga ambayo mtaji ni elfu kumi na mbili.
Nilikuwa nafanya kibarua nimefukuzwa na bosi anadai anataka kupunguza watu.
Hata hii simu...
Wasalaam
Kama kichwa kinavyojieleza salam zangu ziwafikie watu wafuatao;
•Wanaume wote wanao fanya scrub na kufanya make up.
•Wanaume wote wanao tumia emoji kama hii
•Wanaume wote wenye selfie stick
•wanaume wote ambao mna dressing table
•mwanaume ambaye ukimaliza kuoga unavua nguo zote na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.