Kumekuwa na kuibuka kwa makundi mengi ya whatsup yanayohamasisha kuekeza pesa na kupata pesa Kama vile bc investment, million money,olvat na makundi mengine meng
Hivi haya makundi ni kwel nduguzanguni
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeingia Whatsapp nimeona magroup yanahamasisha uwekezaji na faida yaani unawekeza laki baada ya siku mbili yazaa asilimia mia moja. Hivi ni kweli au watu wanatumia fursa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Amini usiamini,endapo watu wanaoanza mapenz wataoana Yan namaanisha mabikra ndoa yao huwa na furaha na Mara nyingi hudumu
Hii ni kutokana na ukweli kua kila mtu hajui mpenz mwingne yaan hafanyi comparison hivo kila mmoja anamwona mwenzie mtamu tu
Sasa jichanganye uoe janamke limechezea kila aina...
Wakuu, kuna mtaalamu mmoja anadai anatoa pochi ya ajabu ambayo kila asubuhi unakuta pochi limejaa mipesa.
Pesa hizo sharti lake ni zitumike siku hiyo hiyo zote, isibaki hata senti. Kesho asubuhi unakuta zingine, yaani daily, ila usipozitumia zote usimlaumu mtu.
Hebu nipeni ushauri, nichukue ama?
Nimeskia Kuna kabila Fulani mjini Arusha Lina sifa ya kua na mabinti warembo Sana
Mabinti hao wakitoka makwao kuja mjini Arusha wakifika mto wa mbu huwa wanavua chup ndani ya gari na kufungua vioo na kutupa mtoni
Yaani wanaingia mjini bila chup!!!!
Kwa Hali hii tutapona kweli
Wakuu ni mwezi Sasa Kila siku ninakula karanga robo kilo ,nimejikuta naongezeka mindevu Kama Osama
Je ni nn kipo kwenye karanga kinachopelekea ndevu kujaa?
Kuna bati zinauzwa mtaani yaani ni mpya sema rangi yake imebabuka babuka haijashika vizur nahitaji kuzitumia katika ujenzi wa nyumba Mana Bei ni rahisi 13000 ft 10
Je Kuna yeyote anayejua vizur ubora wa bati hz
Utamkuta mtu mwaka wa saba Sasa anakaa kwa shemeji yake kaz kupiga story tu Nina degree Mimi usinione hivi.
Ina Mana vijana degree zenu huwa ni kifungo kinachokuzuia kufanya shughuli zingine za kuingiza pesa wakati ukisubir hiyo ajira, kumbuka sku hz wasomi wengi tofauti na zaman, zaman...
Wakuu Leo ni siku ya tatu shemeji yenu yaani mke wangu kaamua kuficha uchi,Sasa sitaki kutumia mabavu Mana nitakua Kama nabaka
Nipeni ushauri niende ustawi wa jamii au dawati la jinsia?
Binafs Mimi huwa nawasalimu watu kwa za saa hizi ndugu ,au asalam alaykum lakin Kuna baadh ya watu hasa walionizid umri huhisi Kama Nina dharau na Sina heshima,wakuu hivi hii salamu Ina Mana gani Kwanza ,na kwann watu wazma mpaka wasomi wanashadadia?
Kwa wale wanaouguza wagonjwa hasa wa homa ya ini na matabibu wataunga mkono hoja,dawa pekee ambazo humpa nafuu mgonjwa ni truvada ila Cha kusikikitisha dawa hizi zimekua adimu Hali inayoathiri afya na uchumi wa familia yenye mgonjwa,mwezi uliopita kitengo Cha CTC kilidai dawa hizo hazipo kabisa...
Wataalam wa afya mliopo humu kumetokea kuadimika kwa dawa za truvada CTC je hili swala ni la taifa zima? Na je dawa hizi zaweza patikana madukani japo watu wanunue kwa pesa? Na je ni ipi dawa mbadala Kama hii haipo ,toa ushauri tuwe serious Kuna watu afya zao zipo hatarin hasa watu wa hepts b
Mke wangu amekua akisifiwa sana na mashost zake mpaka dada zake eti mumeo handsome afu Mimi nikijicheki najiona wakawaida tu lakin kumbe wakiniona wanalowesha chupi kudadeki
Naomba niwaulize Leo wakuu mbalimbali mliowahi kupita usagara miaka hiyo ya zamani,pale hostel za usagara Kuna room inaitwa MZIMUNI karbu na WEST PARK inasemekana Kuna kijana alipotea katika chumba hicho alipokua akijisomea yaani alipiga kitabu mpaka aka disappear na alitafutwa hakuonekana na...
Mapito ya maisha ni mengi,yani maisha ni Kama movie Kuna wakati unatamani picha liishe lakin ndio ndisaaa
Nafanyaje kuipata furaha Mana stress ni nyingi,na hata nikifarijika kidogo tu furaha yangu haidumu
Nahitaji furaha yakudumu wazee nipeni ushauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.