Search results

  1. mumewanguu

    Biashara za kuwekeza mtandaoni

    Kumekuwa na kuibuka kwa makundi mengi ya whatsup yanayohamasisha kuekeza pesa na kupata pesa Kama vile bc investment, million money,olvat na makundi mengine meng Hivi haya makundi ni kwel nduguzanguni Sent using Jamii Forums mobile app
  2. mumewanguu

    Makampuni ya uwekezaji WhatsApp

    Nimeingia Whatsapp nimeona magroup yanahamasisha uwekezaji na faida yaani unawekeza laki baada ya siku mbili yazaa asilimia mia moja. Hivi ni kweli au watu wanatumia fursa? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mumewanguu

    Ndoa tamu ni ya mpenz wa kwanza

    Amini usiamini,endapo watu wanaoanza mapenz wataoana Yan namaanisha mabikra ndoa yao huwa na furaha na Mara nyingi hudumu Hii ni kutokana na ukweli kua kila mtu hajui mpenz mwingne yaan hafanyi comparison hivo kila mmoja anamwona mwenzie mtamu tu Sasa jichanganye uoe janamke limechezea kila aina...
  4. mumewanguu

    Sultan inarud Tena leo

    Wale team sumbula , team gula ,team daihatun burudani imerud Tena Leo saa 2 kamil
  5. mumewanguu

    Ushauri kuhusu hili pochi la pesa

    Wakuu, kuna mtaalamu mmoja anadai anatoa pochi ya ajabu ambayo kila asubuhi unakuta pochi limejaa mipesa. Pesa hizo sharti lake ni zitumike siku hiyo hiyo zote, isibaki hata senti. Kesho asubuhi unakuta zingine, yaani daily, ila usipozitumia zote usimlaumu mtu. Hebu nipeni ushauri, nichukue ama?
  6. mumewanguu

    Nipeni uzoefu wa muhimbili hospital

    Nimeandikiwa muhimbili ,je gharama ya mapokez Bei gan Cna ndugu dar nitawezaje ku survive
  7. mumewanguu

    Utupaji vyupi mto wa mbu

    Nimeskia Kuna kabila Fulani mjini Arusha Lina sifa ya kua na mabinti warembo Sana Mabinti hao wakitoka makwao kuja mjini Arusha wakifika mto wa mbu huwa wanavua chup ndani ya gari na kufungua vioo na kutupa mtoni Yaani wanaingia mjini bila chup!!!! Kwa Hali hii tutapona kweli
  8. mumewanguu

    Karanga zimenifanya nijae mindevu

    Wakuu ni mwezi Sasa Kila siku ninakula karanga robo kilo ,nimejikuta naongezeka mindevu Kama Osama Je ni nn kipo kwenye karanga kinachopelekea ndevu kujaa?
  9. mumewanguu

    Nahitaji kutumia bati zilizokataa kushika rangi kiwandani AKA reject

    Kuna bati zinauzwa mtaani yaani ni mpya sema rangi yake imebabuka babuka haijashika vizur nahitaji kuzitumia katika ujenzi wa nyumba Mana Bei ni rahisi 13000 ft 10 Je Kuna yeyote anayejua vizur ubora wa bati hz
  10. mumewanguu

    Ninafanya mazoezi je no vyakula gani vya kutumia ili kujaza misuli ya kifua na mikono

    Wakuu Kama kichwa Cha habar kinavyojieleza nahitaji niwe na body ninafanya mazoezi je Nile nn ili nijaze misuli
  11. mumewanguu

    Kwanini vijana wasomi wanayumba sana mtaani?

    Utamkuta mtu mwaka wa saba Sasa anakaa kwa shemeji yake kaz kupiga story tu Nina degree Mimi usinione hivi. Ina Mana vijana degree zenu huwa ni kifungo kinachokuzuia kufanya shughuli zingine za kuingiza pesa wakati ukisubir hiyo ajira, kumbuka sku hz wasomi wengi tofauti na zaman, zaman...
  12. mumewanguu

    Nimenyimwa unyumba niende nikashtaki wapi

    Wakuu Leo ni siku ya tatu shemeji yenu yaani mke wangu kaamua kuficha uchi,Sasa sitaki kutumia mabavu Mana nitakua Kama nabaka Nipeni ushauri niende ustawi wa jamii au dawati la jinsia?
  13. mumewanguu

    Tuongelee salamu ya shikamoo

    Binafs Mimi huwa nawasalimu watu kwa za saa hizi ndugu ,au asalam alaykum lakin Kuna baadh ya watu hasa walionizid umri huhisi Kama Nina dharau na Sina heshima,wakuu hivi hii salamu Ina Mana gani Kwanza ,na kwann watu wazma mpaka wasomi wanashadadia?
  14. mumewanguu

    Truvada zakosekana Tanzania

    Kwa wale wanaouguza wagonjwa hasa wa homa ya ini na matabibu wataunga mkono hoja,dawa pekee ambazo humpa nafuu mgonjwa ni truvada ila Cha kusikikitisha dawa hizi zimekua adimu Hali inayoathiri afya na uchumi wa familia yenye mgonjwa,mwezi uliopita kitengo Cha CTC kilidai dawa hizo hazipo kabisa...
  15. mumewanguu

    Truvada hazipo hospital za rufaa

    Wataalam wa afya mliopo humu kumetokea kuadimika kwa dawa za truvada CTC je hili swala ni la taifa zima? Na je dawa hizi zaweza patikana madukani japo watu wanunue kwa pesa? Na je ni ipi dawa mbadala Kama hii haipo ,toa ushauri tuwe serious Kuna watu afya zao zipo hatarin hasa watu wa hepts b
  16. mumewanguu

    Wasichana wenzie wanamsifu eti hongera mumeo mzuri

    Mke wangu amekua akisifiwa sana na mashost zake mpaka dada zake eti mumeo handsome afu Mimi nikijicheki najiona wakawaida tu lakin kumbe wakiniona wanalowesha chupi kudadeki
  17. mumewanguu

    MZIMUNI ndani ya hostel za usagara tanga

    Naomba niwaulize Leo wakuu mbalimbali mliowahi kupita usagara miaka hiyo ya zamani,pale hostel za usagara Kuna room inaitwa MZIMUNI karbu na WEST PARK inasemekana Kuna kijana alipotea katika chumba hicho alipokua akijisomea yaani alipiga kitabu mpaka aka disappear na alitafutwa hakuonekana na...
  18. mumewanguu

    Chuo cha kafundisha operator wa mitambo

    Natafuta wanapofundisha operator wa vijiko,grader, focal lift, na mitambo mingine
  19. mumewanguu

    Vitunguu saum vinanipa maumivu ya kichwa

    Nimeanza kutumia vitunguu saum ila napata maumivu ya kichwa sana na homa Kali tatizo ni nini?
  20. mumewanguu

    Naitamani furaha lakin haidumu

    Mapito ya maisha ni mengi,yani maisha ni Kama movie Kuna wakati unatamani picha liishe lakin ndio ndisaaa Nafanyaje kuipata furaha Mana stress ni nyingi,na hata nikifarijika kidogo tu furaha yangu haidumu Nahitaji furaha yakudumu wazee nipeni ushauri
Back
Top Bottom