mumewanguu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 261
- 259
Naomba niwaulize Leo wakuu mbalimbali mliowahi kupita usagara miaka hiyo ya zamani,pale hostel za usagara Kuna room inaitwa MZIMUNI karbu na WEST PARK inasemekana Kuna kijana alipotea katika chumba hicho alipokua akijisomea yaani alipiga kitabu mpaka aka disappear na alitafutwa hakuonekana na inaaminika yupo mule mule ila haonekani ,wakongwe na wahenga mlioishi pale hostel je story hii ni ya kweli au ni chai tu za hostel master Mr signatory