mumewanguu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 261
- 259
Wakuu Leo ni siku ya tatu shemeji yenu yaani mke wangu kaamua kuficha uchi,Sasa sitaki kutumia mabavu Mana nitakua Kama nabaka
Nipeni ushauri niende ustawi wa jamii au dawati la jinsia?
Nipeni ushauri niende ustawi wa jamii au dawati la jinsia?