Nimenyimwa unyumba niende nikashtaki wapi

mumewanguu

JF-Expert Member
Mar 2, 2018
261
259
Wakuu Leo ni siku ya tatu shemeji yenu yaani mke wangu kaamua kuficha uchi,Sasa sitaki kutumia mabavu Mana nitakua Kama nabaka
Nipeni ushauri niende ustawi wa jamii au dawati la jinsia?
 
Hamjui tu...!ukute unamboa kitandani..bora akae na utamu wake..au ana mimba..au ana stress..au una gubu sana kama La Magu..

yote kwa yote nenda kwa Makonda anapenda kesi za hovy hovyo kama hizi..au km uko mikoa ya nyanda za juu za kusini nenda kwa Mkuu wa mkoa qa Mbeya..Chalamila..!
 
Mkiambiwa mle na mfanye kazi mnaona watu wazima tumepitwa na Wakati.

Ukipewa mzigo na mkeo humalizi hata dakika tano chali. Huna chovyo chovyo tuu kama jogoo.

Ukimaliza kibao cha nguruwe haisimami tena hata ipepewe na Panga boya.

Kwa nini asikunyime.

Ukiona mwanamke hakudai Sex ila wewe ndio unadai kila mara basi ujue humfikishi kileleni.

Demu ukimpiga akafika anapotaka. Kila muda atadai hata kama anastress.

Ukimgombeza mtoto analowesha chupi.
Ukitabasami mtoto analowesha chupi.

Yaani akisikia sauti yako mtoto anahamu ya kusex.

Anataka kila mara.

Ukiona Mkeo/manzi yako yupo hivi basi jua anakupenda na pia unamfikisha kunako.
 
Mkiambiwa mle na mfanye kazi mnaona watu wazima tumepitwa na Wakati.

Ukipewa mzigo na mkeo humalizi hata dakika tano chali. Huna chovyo chovyo tuu kama jogoo.

Ukimaliza kibao cha nguruwe haisimami tena hata ipepewe na Panga boya.

Kwa nini asikunyime.

Ukiona mwanamke hakudai Sex ila wewe ndio unadai kila mara basi ujue humfikishi kileleni.

Demu ukimpiga akafika anapotaka. Kila muda atadai hata kama anastress.

Ukimgombeza mtoto analowesha chupi.
Ukitabasami mtoto analowesha chupi.

Yaani akisikia sauti yako mtoto anahamu ya kusex.

Anataka kila mara.

Ukiona Mkeo/manzi yako yupo hivi basi jua anakupenda na pia unamfikisha kunako.
Mwalimu kashasha wa mapenzi tumekuelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom