mumewanguu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 261
- 259
Kuna bati zinauzwa mtaani yaani ni mpya sema rangi yake imebabuka babuka haijashika vizur nahitaji kuzitumia katika ujenzi wa nyumba Mana Bei ni rahisi 13000 ft 10
Je Kuna yeyote anayejua vizur ubora wa bati hz
Je Kuna yeyote anayejua vizur ubora wa bati hz