mumewanguu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 261
- 259
Wale team sumbula , team gula ,team daihatun burudani imerud Tena Leo saa 2 kamil
Anarudi kutoka wapi mkuu..??Wale team sumbula , team gula ,team daihatun burudani imerud Tena Leo saa 2 kamil
Anarudi kutoka wapi mkuu..??
Amepanda bus gani ili tumpokee..??
Mtuachie wanaume zetu wa darWanaume wa dar hawatalala leo wakisubiri Sultan kwa hamu.
Wanaume wa mkoani tuendelee na palizi.
Mkuu, mimi nataka tu kujuwa mgeni amefika wapi?Mtuachie wanaume zetu wa dar