mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28,ni mwenyeji wa Tanga ninafanya kazi ya kuajiriwa ninahitaji mchumba ambaye atakuja kuwa mke, sifa zake:_
i) umri miaka 20-30
ii)rangi yoyote isiwe
artificial.
iii)elimu isiwe chini ya f4
iv)awe hajazaa.
v)anaeamini kama
kama mungu yupo...
chizi mmoja alikuwa amekaa ufukukweni mwa bahari akiwaza ,jamaa mmoja akamuuliza unawaza nini?chizi akamjibu nawaza kama haya maji ya bahari yangekuwa supu sijui ningeinywa na chapati ngapi?
kuna familia moja ilivamiwa na majambazi,kabla ya kuiba hayo majambazi yakapanga kuwaua wote, ila kabla ya kuwaua majambazi hayo yaliamua kuwauliza majina yao kwanza.
Jambazi:we mwanamke unaitwa nani?
Mwanamke:mimi naitwa elizabeth
Jambazi:wewe umesalimika maana jina lako ni kama la mama...
A husband asked his wife, do you know the meaning of WIFE? It means that.
W=without
I=information
F=fighting
E=every time.
Wife says no, it means
W=with
I=idiot
F=for
E=ever
Who iz correct
jaman kuna msichana m1 ninampenda sana, nilivyokutana nae kwa mara ya kwanza nilijua yeye ndiye atakuwa my wife tatizo siku ya kwanza kwenda kuchakachua niliyoyakuta huko noma unaambiwa kinu kina maji kibao nikitwanga maji yanaruka mpaka usoni, kumpenda nampenda ila mh! nikifikiria uwanjani...
jaman hawa wanawake wanatuibia kweli, kunajamaa alikua anafanya mpenzi na demu m1 basi yule mwanamke alivyokuwa analalamika ah , ah nakojoa basi yule jamaa akamtest kama kweli au anaibiwa basi jamaa nae akaanza kulalamika ah, ah nakunya basi mwanamke akakurupuka na kumuambia we akamka haraka...
jamani kuweni makini mnapotaka kufanya mambo nyakati za usiku kwani hawa wenetu wa siku hizi hatari, mimi nimepanga nyumba moja huku uswahili siku moja nikiwa nimejipumzisha ndani kwangu akaingia mtoto wa mpangaji mwezangu nilikaa nae kwa muda kisha nikamuona yule mtoto ananifungua zipi...
nina rafiki mmoja anamchumba wake ambaye anampenda sana ila hakujua kama mchumba wake naye ana mpenda basi aliamua kumtega,kwanza alizima sim yake kwa muda wa wiki 1 kisha akaiwasha muda huo huo yule mchumba akapiga sim huku akimlaumu kwa kutopatikana basi jamaa akajib kwa upole kuwa yuko...
mfugaji mmoja alivamiwa na majambazi usiku ,wakaiba mifugo kisha wakamvua nguo zote kumfunga kwenye mti kama yesu asubuhi jirani zake walikwenda kumpa pole jamaa,jamaa akawaambia yaani hapa wala sifikilii kuibwa kwa ng'ombe bali ni huyu ndama waliemuacha yaani nilivyofungwa pale mtini basi huyu...
wanasiana wapatao 40 walikua wanakwenda kijijini kufanya kampeni bahati mbaya gari lao lili pata ajali mbaya njiani karibu na shamba la mkulima mmoja,mkulima kuona hivyo alichimba kaburi la pamoja na kuwazika wote, polisi walivyofika wakamkuta yule mkulima
wakamuuliza waliopata ajali wako wapi...
kila siku najiuliza kuhusu adam na hawa , katika vitabu vyote vya dini vinaeleza kuwa sisi sote ni wana wa adam lakini inakuaje sisi waafrika tu weusi,au baba yetu adam au mama yetu hawa mmoja wapo alikuwa mweusi ,au sisi tulizaliwa na ulemavu wa ngozi.
kuna ndugu yangu mmoja ameoa, wanaaminiana sana na mkewe hakuna hata siku waliogombana ila tatizo mkewe amejifungua mtoto mzungu pure hivi karibuni ndugu yangu yeye hakusema k2 japo alikuwa anumia, mkewe akamuomba ndugu yangu huyo wakapime dna kama anamashaka maana mke alimuona mumewe japo...
kuna ndugu yangu mmoja ameoa, wanaaminiana sana na mkewe hakuna hata siku moja waliogombana ila tatizo mkewe amejifungua mtoto mzungu pure hivi karibuni ndugu yangu yeye hakusema k2 japo alikuwa anaumia, mkewe akamuomba ndugu yangu huyo wakapime dna kama anamashaka maana mke alimuona mumewe...
kuna jamaa mmoja alimpa dent mimba kuona hivyo jamaa akaona bora aende kwa sangoma amsaidie maana miaka 30 inakaribia sangoma akamsaidia kwakumbadilisha nyeti zake kuwa za kike kwa muda ili ashinde kesi
siku ya kesi jamaa baada ya kusomewa mashata, jamaa alikataa, basi jaji akamwambia ajitetee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.