umemsikia huyu chizi

umemsikia huyu chizi

kingazi

Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
35
Reaction score
7
chizi mmoja alikuwa amekaa ufukukweni mwa bahari akiwaza ,jamaa mmoja akamuuliza unawaza nini?chizi akamjibu nawaza kama haya maji ya bahari yangekuwa supu sijui ningeinywa na chapati ngapi?
 
Back
Top Bottom