Habari wakuu,
Bila kupoteza mda naomba mnitoe tongotongo kidogo kuhusu hizi IPHONE 12 zinazouzwa KIKUU (Rejea picha ya chini) kwa bei sawa na bure maana kuna rafiki angu kanishirikisha hii ishu imebidi nimwambie asubiri kwanza tufanye research..
Nawasilisha
Poleni na pilika pilika za maisha, Nichukue fursa hii kuwaomba wadada kuchukua walau dakika kadhaa kutaja sifa za wanaume weusi
Naamini kupitia huu uzi utatusaidia sisi wanaume weusi both PHYSICALLY na MENTALLY...
NOTE: Comment ziwe fupifupi
Karibu jipatie high sound quality speaker aina ya W-KING kwa bei nzuri
.
Zipo mbili tu, wahi mapema
PRICE: 230,000
CONTACTS: 0744277050
LOCATION: DAR (KINONDONI)
Nawasalimu wakubwa zangu wote, Natumai Nyote ni Wazima wa afya huku tukiendelea kuusubiri Mwaka mwingine tena(2021)
BACK TO THE TOPIC
Mimi ni graduate wa chuo mwaka huu na umri wangu ni early 20s, Nipo mtaani sina mbele wala nyuma na sioni dalili zozote za kutoboa kimaisha hivi karibuni... Kuna...
Nauza kitanda cha mbao na godoro lake vyote kwa pamoja kwa 160,000
Kitanda ni mbao na ukubwa wake ni 5*6
Location: Riverside, Ubungo
Contacts: 0693855083
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini Wakuu,
Kama Kichwa cha habari hapo Juu Natafuta chumba maeneo ya Msewe, Ubungo, Mwenge, Sinza, Survei na yote karibu na maeneo tajwa hapo Juu.
Sitaki Kuwachosha sana Bajeti yangu ni Elf60k
NAWASILISHA.
Kwenye mizunguko ya apa na pale nmegundua kua suluhisho mbadala kwa wale wenye matatizo ya uhanisi na nguv za kiume
USHAURI: Tembelea Mlimani City Siku Za Weekend Alaf Ukae Kwenye Vile Vibenchi Vya Ndani Afu Kaa na Tazama Kwa Makini Type Mbalimbali za Mademu Wanaopitapita apo...Naiman Kwa...
Habari Wakuu..Nataka kununua container empty kwa ajili ya shughuli zangu mbalimbali hivyo kama kuna mtu anauza au anaweza nisaidia kwa mawazo eapi nitaweza pata au COMMENT chochote kila cha kujenga afanye hivyo...NAWASILISHA
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.