Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limefungia Uwanja wa Benjamini Mkapa kutotumika kwa kile kilichoelezwa umeharibika eneo la kuchezea (pitch) na sasa utafungwa kwa mwezi mmoja kupisha marekebisho.
Source: Mwanaspoti
======
Taarifa hii imefanyiwa kazi kwenye jukwaa la Jamii Check, soma: KWELI...
Kesho Kocha Nabi atuwekee Mayele na Musonda. Wingers wetu eg. Twisila ni matatizo. Nyuma yao acheze Aziz Ki kama yuko fit.
Mayele akicheza mwenyewe atuzurura tu uwanjan, nadhan mmeona game iliyopita, Mayele vs Monastr, Baleke vs Horoya, Bocco vs Raja 😂 Huku mabeki sio wa NBC Premier league...
Huyu aliwahi kusifu Kanisa Katoliki. Pia hata video ya kuwaaga waamin kamaliza Tumsifu Yesu Kristo. Hili jambo maboss (askofu) wake wanachukia. Huyu Jamaa ni mkweli. Hakuna taasisi bora zaidi ya Kanisa Katoliki. Makanisa mengine ni migogoro ya (kifedha, kiuongozi) kila siku
UTATU MTAKATIFU
Mungu ni mmoja.
Pia ana nafsi 3:
Baba ni Mungu
Mwana ni Mungu John 1:1-3, Phil. 2:6-7
Roho Mtakatifu ni Mungu.
Hatuwezi kuwatofautisha lakin watotofautiana kwa kazi zao.
Mungu yu katika uwingi
Genesis 1:26 Tumfanye mtu kwa mfano wetu
Genesis 3:22 Amekuwa mmoja wetu...
Vijana kadhaa wameniomba nirudie maelezo kuhusiana na maneno “CHRISTMAS” na “X-MAS” maana wanachanganywa na wenzao. Kifupi, maelezo yanayosambazwa kwenye mitandao yetu ni kwamba “Christmas” ni sahihi na “X-mas” siyo sahihi. Maelezo haya yanayosambazwa si sahihi, ni ya uongo. Ni ushuhuda wa...
In the ancient world, there was no comfortable middle class, just relative poverty and luxurious wealth. Jesus was not destitute or a beggar, but he was also not wealthy. The Bible says Jesus became poor (2 Cor. 8:9), taking the form of a slave (Phil. 2:7) and had nowhere to rest his head (Luke...
Simba asiposajili DM na striker wa uhakika lawama zitaendelea.
Kounate ni box to box midfielder, kucheza kama Defensive Midfielder ni kumforce sana. Pia kama ataendelea kucheza DM apunguze foul za ovyo. Mkude haeleweki kama no. 6 au 8 yaani...
Striker wapambane wamchukue Manzoki, hawa...
Yanga wametangaza kazi sehemu mbalimbali lakini mpaka uwe na kadi ya uanachama.
Kazi za Professional mpaka uwe na kadi???! Eg. Daktari kuna ulazima gani awe na kadi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.