Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,042
Jibu lisilo umiza, hataki aacheMapato hayatuhusu kikubwa watu wamejaa wamefurahi ndo maaana ya siku yao wajidai..hao.wengine labda wana madeni wanataka wayalipe.
Hapo jambo kubwa ni viingilio yanga kima cha chini 10000/ pia kima cha juu ilikuwa 300000/ lkn simba haikuwa hivounampa majizibu ya kumtesa zaidi na kumdhoofisha,sio poa kabisa Kalpana na wao ni watu sio wadudu msizidi kuwatesa
Hili ni jibu la shabiki siyo mshangiliaji. Asante kwa kuujua mpira.Jibu Ni kwamba Simba kiingilio nilikuwa nusu kwa kile Cha Yanga kwa mzunguko ambavyo ndiyo viti vingi uwanjani. Yanga walitarget kupata fedha wamefanikwa, Simba walitarget kujaza uwanja nap wamefanikwa. Kupanga Ni kuchagua. Kila timu ilikuwa na malengo yake.
Buguruni juzi tiketi zilkua zinauzwa 2000.Kiingilio baba!! Watu waliingia kwa buku 3 tu! Maneno mengii, pesa hakuna!
Kuna kitu sijaelewa, Simba ndie kajaza uwanja lakini mapato kazidiwa. Naomba maelezo
Kwahiyo shabiki wa utopolo wengi hawana uwezo wa kulipa 10k kuingia uwanjani?Kiingilio baba!! Watu waliingia kwa buku 3 tu! Maneno mengii, pesa hakuna!
Hayo mapato hanaonesha Simba iliingiza mashabiki chini ya 47,000Mapato hayatuhusu kikubwa watu wamejaa wamefurahi ndo maaana ya siku yao wajidai..hao.wengine labda wana madeni wanataka wayalipe.
Ushindi na mafanikio ndio vilikuwa kipaumbele chetu kuliko mapato.. Leo wenye mapato makubwa hawana furaha kuliko wenye mapato madogo .. PESA SIO KILA KITU!Kuna kitu sijaelewa, Simba ndie kajaza uwanja lakini mapato kazidiwa. Naomba maelezo